• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

ZIARA YA WAZIRI WA MAJI, MRADI WA MAJI WA MIJI 28 WILAYA YA MPANDA.

Posted on: July 24th, 2025

Waziri wa Maji, Mhe. Juma Hamidu Aweso (Mb), ameendelea na ziara yake ya kikazi ya kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji nchini, ambapo leo Julai 24, 2025 ametembelea na kukagua maendeleo ya Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi.

Katika ziara hiyo, Mhe. Aweso ameonesha kuridhishwa na hatua za utekelezaji wa mradi huo mkubwa, ambao ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa wakati wote.

Aidha, Mhe. Aweso amesisitiza dhamira ya dhati ya Serikali ya kumtua mama ndoo kichwani kupitia uwekezaji mkubwa katika ujenzi wa miundombinu ya maji, ikiwemo dakio la maji ambalo ni sehemu muhimu ya mradi huo.

Katika hotuba yake, Waziri Aweso amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kutoa msukumo mkubwa katika sekta ya maji, ambapo kupitia uongozi wake, zaidi ya shilingi bilioni 22 zimeidhinishwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu mkoani Katavi pekee.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, amepongeza jitihada za Serikali kwa kuwekeza zaidi ya shilingi bilioni 65 katika sekta ya maji mkoani humo. Ameeleza kuwa matokeo ya uwekezaji huo yamepelekea kuongezeka kwa kiwango cha upatikanaji wa maji hadi kufikia asilimia 68.5 kwa maeneo ya mijini na asilimia 77.3 vijijini, kutoka chini ya asilimia 60 hapo awali.

Mradi wa Miji 28 unaendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi, ukiwa ni ishara ya utekelezaji thabiti wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA WAZIRI WA MAJI, MRADI WA MAJI WA MIJI 28 WILAYA YA MPANDA.

    July 24, 2025
  • SEPTEMBA 2025, MWISHO WA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI KWENYE TAASISI ZINAZO HUDUMIA WATU ZAIDI YA 100. HUDUMIA

    July 23, 2025
  • KATAVI YAANZA KUYABAINISHA MAENEO HATARISHI YANAYOCHOCHEA MAGONJWA YA MLIPUKO.

    July 22, 2025
  • HUDUMA YA KUCHUJA DAMU (DIALYSIS): TUMAINI JIPYA KWA WAGONJWA WA FIGO KATAVI.

    July 21, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved