• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Tanganyika

Mhe. Salehe Mbwana Muhando

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mhe.Salehe Muhando (wa tatu kutoka kulia) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Ally Hapi

kuhusu Wilaya yake ilivyojipanga kuhakikisha inamnyanyua mkulima kutoka katika kilimo cha kimazoea na kuingia katika kilimo cha kibiashara.

Viongozi hawa wamekutana baada ya kufungwa kwa maonesho ya nanenane  mwaka 2018 katika ukumbi wa Benjamini Mkapa Jijini Mbeya.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe. Salehe Muhando wa pili kutoka kulia akisikiliza maelezo ya maabara ya udongo

 inayotembea katika banda la OCP, wakati wa maonesho ya Nane nane Jijini Mbeya mwaka 2018.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe. Salehe Mhando wa kwanza kushoto akiwa katika ziara ya kujifunza teknolojia mpya 

inayotumika katika Kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazao ya Chakula na Biashara na kujenga uchumi wa Viwanda katika

 maonesho ya Nanenane Jijijini Mbeya 2018. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda

 Bw. Lumuli Rojasi na wa tatu ni Mhe. Hamadi Mapengo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe. Salehe Muhando akikagua kitalu cha miche ya Mikahawa na Pines katika

Kijiji cha Lugonesi kata ya Mwese Wilaya ya Tanganyika

Kitalu cha miche ya Mikahawa na Pines katika Kijiji cha Lugonesi kata ya Mwese Wilaya ya Tanganyika

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe.Salehe Muhando akikagua Miradi ya Maendeleo katika Wilaya yake, ili  kuhakikisha 

kuwa ujenzi unaendana na thamani ya fedha iliyotolewa na kukamilika kwa wakati.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe. Salehe Muhando akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Mradi wa Maji katika Kata ya Kabungu. 

Mkuu huyo wa Wilaya amewapongeza wakandarasi wa Mradi huo, na kuwaambia kuwa ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi huo 

na kuwataka wakamilishe mradi huo kwa muda uliopangwa.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Mheshimiwa Salehe Mhando amepokea vifaa mbalimbali kutoka NMB

 kwa ajili ya kituo cha afya cha Mwese vyenye thamani ya million 5.

Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Mhe. Salehe  Mhando ametoa shilingi milioni moja katika kuunga mkono jitihada za wananchi wa Kijiji 

cha Luhafwe ambao wameanzisha ujenzi wa vyumba vya madarasa  ya shule ya msingi Ruhafwe iliyopo wilayani Tanganyika.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika akiwa katika vikao vyake vya kawaida kuhamasisha wananchi kufanya kazi 

na kuwa wabunifu katika kujiongezea kipato na kujenga uchumi wa Viwanda.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mh.Salehe Mbwana Mhando akiwa katika ziara ya na kukagua shughuli mbalimbali  za maendeleo katika 

Wilaya yake, Mkuu huyo wa Wilaya pamoja na kutembelea miradi ya ujenzi katika Kata ya Ikola pia alipata fursa ya kutembelea 

Mwalo katika eneo la Kata ya Ikola na kuwahimiza wavuvi kufanya kazi kwa bidii ili kuijenga Tanzania mpya ya Viwanda.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved