Pichani Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko(Mwenye ushungi wa Bluu) alipowaongoza Wananchi wa Mkoa wa Katavi katika Matembezi ya hiyari ya kumpongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan 24 Juni 2022.Ofisi ya Mkuu wa Mkoa iliridhia na kuunga Mkono Matembezi ya Wananchi kumpongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan. ">
Posted on: August 13th, 2022
Pichani:Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko akikata utepe ishara ya kuzindua zoezi la ugawaji wa pikipiki zilizotolewa na RUWASA makao makuu kwa ajili ya jumuia za watumia maji 12 ...