• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Elimu




Bi. NEWAHO E. MKISI

Katibu Tawala Msaidizi

Sehemu ya Elimu.

1.0 SEHEMU YA ELIMU

 

1.1 UTANGULIZI 

Sehemu ya Elimu ni moja ya Sehemu zinazounda Sekretarieti ya Mkoa wa Katavi. Jukumu kubwa la Sehemu hii ni Kufafanua na Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo katika Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari, Mafunzo ya Ualimu, Elimu ya Watu Wazima na Elimu nje ya Mfumo Rasmi na Vituo vya Ufundi Stadi katika Mkoa wa Katavi.

1.2 MUUNDO WA SEHEMU 

Kimuundo Sehemu hii inaongozwa na Katibu Tawala Msaidizi.

Watumishi waliopo katika Sehemu hii.

NA 

JINA 

CHEO 

1

Newaho E. Mkisi
Katibu Tawala Msaidizi – Elimu

2

Florence Ngua
Afisa Elimu Taaluma - Msingi

3

Wilson M. Berthord
Afisa Elimu Taaluma - Sekondari

4

Beatrice C. Gati
Kaimu Afisa Elimu ya Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi

Aidha Kimuundo Sehemu hii inatakiwa kuwa na Jumla ya Watumishi Saba (7) Wafuatao, Ikionyesha Waliopo na Pungufu yao.

NA. 

CHEO/KADA 

MAHITAJI 

WALIOPO 

PUNGUFU 

1.

Katibu Tawala Msaidizi (Afisa Elimu Mkoa)

1

1

0

2.

Afisa Elimu Taaluma Mkoa

3

2

1

3.

Afisa Elimu Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi

1

1

0

4.

Afisa Michezo

1

0

1

5

Afisa Vijana

1

0

1

 

JUMLA

7

4

3

 

MAJUKUMU YA SEHEMU YA ELIMU

Kushughulikia upanuzi wa Elimu katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Ufundi, Elimu ya Watu Wazima, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu

Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini Mitihani ya Darasa la Nne na Saba, Kidato cha Nne na Sita, Mafunzo ya Ualimu pamoja na Mitihani ya Ufundi katika Mkoa kwa kushirikiana na Baraza la Mitihani la Tanzania, OR-TAMISEMI na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,

Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za Wathibiti Ubora wa Shule

Kusimamia utekelezaji wa kazi za Maafisa Elimu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa

Kuratibu na kuchambua takwimu za Elimu katika Mkoa kwa ajili ya Mipango ya maendeleo katika ngazi za Halmashauri na Taifa

Kusimamia na kuendesha uchaguzi wa Wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha Kwanza katika Mkoa

Kuratibu na kusimamia uhamisho wa wanafunzi wa Elimu ya Msingi na Sekondari ndani na nje ya Mkoa

Kuratibu, kusimamia na kuendesha mashindano ya Taaluma katika ngazi ya Mkoa

1.4 MGAWANYO WA KAZI NA SHUGHULI KATIKA SEHEMU YA ELIMU

NA

JINA

CHEO

MAJUKUMU

1.

Newaho Mkisi
Mkuu wa Sehemu ya Elimu (Afisa Elimu Mkoa)
Anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa juu ya utendaji wa shughuli zote za Sehemu.
Kuhudhuria vikao vyao vya kisheria anavyotakiwa kuhudhuria
Kushughulikia upanuzi wa Elimu katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Ufundi, Elimu ya Watu Wazima, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu
Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini Mitihani ya Darasa la Nne na Saba, Kidato cha Nne na Sita, Mafunzo ya Ualimu pamoja na Mitihani ya Ufundikatika Mkoa kwa kushirikiana na Baraza la Mitihani la Tanzania, OR-TAMISEMI na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za Wathibiti Ubora wa Shule
Kusimamia utekelezaji wa kazi za Maafisa Elimu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa
Kuratibu na kuchambua takwimu za Elimu katika Mkoa kwa ajili ya Mipango ya maendeleo katika ngazi za Halmashauri na Taifa
Kusimamia na kuendesha uchaguzi wa Wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha Kwanza katika Mkoa
Kuratibu na kusimamia uhamisho wa wanafunzi wa Elimu ya Msingi na Sekondari ndani na nje ya Mkoa
Kuratibu, kusimamia na kuendesha mashindano ya Taaluma katika ngazi ya Mkoa
Kusimamia Mikutano ya Bodi inayohusu uendeshaji mipango ya maendeleo, nidhamu, mapato na matumizi ya fedha za shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu katika Mkoa kulingana na Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995 kifungu cha 10

2.

Florence Ngua
Afisa Elimu Taaluma Mkoa
Anawajibika kwa Mkuu wa Sehemu ya Elimu
Kufuatilia na kusimamia utekelezajiwa taarifa za Ukaguzi
Kubuni Mipango ya kuinua kiwango cha taaluma katika Mkoa na kusimamia utekelezaji wake
Kubuni mipango ya kuimarisha na kuendeleza taaluma ya Walimu na Wanafunzi,
Kuratibu mashindano ya taaluma yanayoendeshwa katika Mkoa na Halmashauri
Kuratibu utoaji wa huduma muhimu kwa wanafunzi kama vile mahudhurio, uhamisho na huduma za chakula,
Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini Mitihani ya darasa la Nne na Saba, Mafunzo ya Ualimu pamoja na Mitihani ya Ualimu na Ufundi katika Mkoa kwa kushirikiana na kamati za Mitihani ya Mkoa,
Kushughulikia uhamisho wa wanafunzi wa Elimu ndani na nje ya Mkoa.
Kubaini na kuratibu mafunzo endelevu ya walimu kazini na watumishi wengine wa shule za Msingi na Sekondari
Kuhakikisha walimu wote wanafanyiwa tathmini ya wazi ya Utendaji kazi (OPRAS)
KUratibu mashindano ya Michezo na Taaluma ya Shule za Msingi na Sekondari
Kuhakikisha walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wanapangwa katika shule kwa kuzingatia Ikama inayokubalika


3.

Wilson Berthord
Afisa Elimu Taaluma
Anawajibika kwa Mkuu wa Sehemu ya Elimu
Kufuatilia na kusimamia utekelezajiwa taarifa za Ukaguzi
Kubuni Mipango ya kuinua kiwango cha taaluma katika Mkoa na kusimamia utekelezaji wake
Kubuni mipango ya kuimarisha na kuendeleza taaluma ya Walimu na Wanafunzi,
Kuratibu mashindano ya taaluma yanayoendeshwa katika Mkoa na Halmashauri
Kuratibu utoaji wa huduma muhimu kwa wanafunzi kama vile mahudhurio, uhamisho na huduma za chakula,
Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini Mitihani ya darasa la Nne na Saba, Mafunzo ya Ualimu pamoja na Mitihani ya Ualimu na Ufundi katika Mkoa kwa kushirikiana na kamati za Mitihani ya Mkoa,
Kushughulikia uhamisho wa wanafunzi wa Elimu ndani na nje ya Mkoa.
Kubaini na kuratibu mafunzo endelevu ya walimu kazini na watumishi wengine wa shule za Msingi na Sekondari
Kuhakikisha walimu wote wanafanyiwa tathmini ya wazi ya Utendaji kazi (OPRAS)
KUratibu mashindano ya Michezo na Taaluma ya Shule za Msingi na Sekondari
Kuhakikisha walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wanapangwa katika shule kwa kuzingatia Ikama inayokubalika


4.

Beatrice Gati
Kaimu Afisa Elimu Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi
Anawajibika kwa Mkuu wa Sehemu ya Elimu
Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu ya Watu wazima, Nje ya Mfumo Rasmi
Kuratibu mahitaji na ugawaji wa rasilimali zihusuzo Elimu ya watu Wazima, Nje ya Mfumo Rasmi
Kuratibu mashindano ya kitaaluma yanayoendeshwa katika Mkoa na Halmashauri kwa Elimu ya Watu Wazima, Nje ya Mfumo Rasmi
Kuratibu utoaji wa Elimu Masafa na Ana kwa Ana kwa kushirikiana na Mkufunzi Mkazi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Mkoa na Waratibu wa Vituo katika Sekondari na Vyuo
Kuratibu utoaji wa Elimu ya Sekondari katika Vituo vya Ufundi Stadi na vya Watu binafsi Nje ya Mfumo Rasmi
Kuratibu mipango ya kufuta ujinga wa kutojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu inayoendeshwa na shule za Msingi na Sekondari
Kutoa ushauri wa kiufundi kwa Serikali za Mitaa na Mashirika/Wadau katika kukuza na kuongeza uwezo wa kitaaluma katika kuboresha Elimu ya Watu Wazima, Nje ya Mfumo Rasmi na Elimu Maalum
Kuratibu Mipango na kutayarisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Elimu ya watu Wazima, Nje ya Mfumo Rasmi na Elimu Maalum.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved