• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Katavi National Park

MALIASILI NA UTALII

1.0 Utangulizi

Mkoa wa Katavi una hazina kubwa ya maliasili kama misitu, Hifadhi ya Taifa ya Katavi na mapori tengefu. Hifadhi za wanayamapori zinajumuisha Hifadhi ya Taifa ya Katavi na Pori la Akiba la Rukwa/Lwafi. Hifadhi za misitu zinajumuisha Hifadhi za Misitu za Inyonga, NorthEast Mpanda, Msaginya, Mlele, Rungwa, Nkamba, Masito Ugalla na Tongwe East.

1.1 Hifadhi za Misitu

Mkoa una hekta 2,801,168.6 za Hifadhi za misitu. Mchanganuo wa ukubwa wa maeneo yanayojumuisha hifadhi za misitu ni kama ifuatavyo katika jedwali Na 1:-

NO
JINA LA MSITU
ENEO LA MISITU
KIASI CHA MBAO
Eneo Halisi kwa Ha
Eneo lenye Miti kwa Ha
Ujazo M3 Ha
Ujazo M3
Idadi ya Miti
01
Inyonga
590,616.5
520,761.42
45
2,512,507
946,011
02
Msaginya
85,560
76,689.90
18
1,349,279
287,609
03
Mlele Hill
521,099.20
467,365.50
56
3,667,151
1,471,166
04
Nkamba
99,264.50
82,756.80
46
206,653
77,063
05
Mpanda Kaskazini Mashariki
504,286
452,214.50
49
1,829,719
1,054,640
06
Rungwa
402,848
361,316
46
759,686
310,806
07
Tongwe
168,415.20
151,048.80
77
654,492
213,799
08
Ugalla
428,835
384,615
43
710,555
302,442

JUMLA KUU
2,801,168.60
2,496,767.20
380
11,690,042
4,663,536

1.2 Hifadhi za Wanyama Pori

Mkoa una kiasi cha Hekta 866,500 ambazo ni hifadhi za wanyamapori zinazojumuisha Hifadhi ya Taifa ya Katavi yenye ukubwa wa hekta 447,100 na Pori la Akiba la Rukwa lenye ukubwa wa hekta 419,400. Idadi na aina ya wanyama wanaopatikana katika hifadhi hizi ni kama ifuatavyo katika jedwali Na 2:-


NA

AINA YA MNYAMA

IDADI HIFADHI YA TAIFA YA KATAVI

01

Viboko
5400

02

Mamba
Sensa haijafanyika

03

Samaki
Sensa haijafanyika

04

Tembo
Sensa haijafanyika

05

Twiga
900

07

Nyati
39,800

08

Simba
190

09

Pundamilia
3,000

10

Fisi
750

11

Mbwa mwitu
Sensa haijafanyika

12

Nyemela
900

13

Kongoni
140

14

Swala
1,000

15

Nyani
Sensa haijafanyika

16

Kudu
Sensa haijafanyika

18

Palahala
40


1.3 Utalii

Mkoa una vivutio vingi vya utalii vinavyojumuisha Mambokale na Hifadhi za wanyama. Fursa za kitalii zilizopo ni kama ifuatavyo:-


NO
SEHEMU
FURSA ZA KITALII ZILIZOPO
01
Hifadhi ya Taifa ya Katavi
Muonekano mzuri wa ziwa Katavi na Ilyandi Sandridge


Mti wa mzimu wa Katabi na vilima vya mke wa Mzimu aitwaye Wamweru


Wanyama wengi katika maeneo ya ziwa Katavi, maeneo ya Kataukasi na Kakonje


Uwingi wa wanyama katika uwanda wa Katisunga


Uwepo wa miti marula na misawala eneo la Ikuu


Uwepo wa wanyama wengi pembezoni mwa mto Katuma


Uwingi wa n a mapango ya mamba katika daraja la zamani eneo la Ikuu


Uwingi wa wanyama katika eneo la ziwa Chada


Muonekano mzuri wa kilima cha lyamba lya mfipa


Mbuga ya duma


Uwepo wa wanyama waliohatarini kutoweka kama mbwa mwitu, roan antelope na Kudu


Uwingi wa mamba na viboko katika eneo la mto Kapapa


Uwingi wa nyati katika eneo la mto Chorangwa na Mpunga flood plain


Uwepo wa maporomoko ya maji yam to Ruchima na Chorongwa


Uwepo wa Twiga mweupe
02
Pori Tengefu la Rukwa
Uwepo wa ziwa Rukwa


Uwepo vitalu sita vya uwindaji wa kitalii


Uwepo wa wanyama mbalimbali
03
Majimoto
Uwepo wa chemchem ya majimoto
04
Karema
Uwepo wa kanisa la kihistoria


Uwepo wa ziwa Tanganyika
05
Katumba
Uwepo wa kanisa kubwa la Tambazi
06
Nsimbo na Mpanda
Uwepo wa madini
07
Hifadhi za Misitu
Ufugaji nyuki


 

Baadhi ya wanyama na maeneo ya kuvutia katika 

Hifadhi ya Taifa ya Katavi

 

1.4  Vitalu vya Uwindaji wa Kitalii

Mkoa una jumla ya vitalu nane (8) vya uwindaji wa kitalii. Orodha ya vitalu hivyo na ukubwa wake ni kama ifuatavyo:-


NO
JINA LA KITALU
UKUBWA KWA KM ZA MRABA
01
Msima 1 na Msima II

2,000

02
Mlele Kaskazini na Kusini

5,210.9

03
Eneo la wazi la Niensi katika msitu wa Tongwe

1,658

04
Inyonga Kaskazini na Kusini

3,500

05
Rukwa

4,190

06
Masito Ugalla

4,288.35

07
Mto Rungwa

4,026.45

08
Msitu wa Nkamba

992.6


1.5 Mapato kutokana Utalii pamoja na Uwindaji wa Kitalii 2011 hadi 2017

Mkoa umekuwa na ongezeko la watalii kutoka 2,854 waliotembelea hifadhi ya Taifa ya Katavi mwaka 2012 hadi kufikia watalii 3,837 mwaka 2016. Aidha lipo ongezeko pia la maduhuli ya serikali kupitia Hifadhi ya Taifa ya Katavi kutoka shilingi 119,096,260.00 zilizokusanywa mwaka 2012 hadi kufikia shilingi 590,257,398.75 zilizokusanywa mwaka 2015.

IDADI YA WATALII NA MADUHULI YA SERIKALI YATOKANAYO NA UTALII


MWAKA
IDADI YA WATALII WA NDANI
IDADI YA WATALII TOKA NJE
MADUHULI YA SERIKALI KUTOKANA NA UTALII
2011/2012

1223

1631

119,096,260.00

2012/2013

1623

1513

108,220,195.00

2013/2014

2563

2152

209,651,863.00

2014/2015

2604

1733

198,207,334.00

2015/2016

2452

1385

185,234,200.00

JUMLA


820,409,852.00


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved