• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Zaidi ya Milioni Mia tatu zawanufaisha Wajasiriamali Tanganyika. RC awataka wanavikundi kuzingatia masharti,kurejesha kwa wakati.

Posted on: August 13th, 2022

Pichani:Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko akikabidhi hundi ya zaidi ya Shilingi Milioni Mia tatu kwa vikundi 14 vya Wajasiriamali wa makundi ya Wanawake,Vijana na wenye Ulemavu zilizotolewa na  Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika  kwa wajasiriamali ikiwa ni utekelezaji wa utengaji wa fedha Asilimia 10 za mapato ya ndani  Agosti 11,2022.


Shilingi Milioni mia tatu arobaini na mbili Laki tatu na  hamsini na tisa zimetolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa vikundi 14 vya wajasiriamali wa makundi ya Wanawake,Vijana  na wenye ulemavu, iikiwa ni utekelezaji wa utengaji wa fedha asilimia 10 kwa ajili ya Wanawake,Vijana na wenye ulemavu katika kipindi cha mwaka wa fedha 2021/2022.

Akikabidhi hundi ya fedha hizo, kwa wajasiriamali hao mgeni rasmi katika hafla hiyo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko, amewataka wanufaika wa mikopo iliyotolewa kuzingatia vigezo na masharti yaliyotolewa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa wanafanya marejesho kwa wakati ili kuepuka usumbufu.

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Bi Halima Kitumba ameeleza kuwa kiwango hicho cha fedha kilichotolewa kimetokana na fedha za marejesho pamoja na makusanyo ya ndani ya Halmashauri.

Ameeleza kuwa uwepo wa mikopo hiyo kwa makundi maalumu imesadia kwa kiwango kikubwa kuwaondoa vijana wengi kutoka katika makundi hatari ya matumizi ya madawa ya kulevya na vitendo vingine vya utovu wa kimaadili vinavyosababishwa kwa sehemu kubwa na ukosefu wa Ajira.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JAJI MKUU WA TANZANIA ASISITIZA UADILIFU NA USHIRIKIANO WA WADAU KATIKA UTOAJI HAKI.

    May 28, 2025
  • RC MRINDOKO AKEMEA WAKURUGENZI KUZALISHA MADENI MAPYA KWA WAZABUNI.

    May 22, 2025
  • KATAVI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI.

    May 21, 2025
  • BASATA YAWAPIGA MSASA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KATAVI MFUMO WA AMIS NA TAUSI

    May 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved