• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Watumishi wasiosimamia vema utekelezaji Afua za Lishe Katavi kuwajibishwa.

Posted on: October 11th, 2022

Pichani:Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bi Jamila Y.Kimaro Mkataba wa usimamizi na Utkelwzaji wa Afua za Lishe mara baada ya kusaini mikataba hiyo 10 Oktoba 2022.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko amewataka Wakuu wa Wilaya,Wenyeviti na Wakurugenzi wa Halmashauri kuchukua hatua Kali Kwa Maafisa watakaoshindwa kutekeleza shughuli za uboreshaji Afua za Lishe Mkoani humo.

Mhe. Mrindoko ametoa kauli hiyo katika kikao cha tathimini ya utekelezaji wa mpango mkakati wa usafi na utunzaji mazingira mkoa wa Katavi,kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa  Manispaa ulioko Mpanda Mjini.

"Hatutakubali kuendelea kufanyana nae kazi,itabidi apumzike pembeni tutafute Watumishi ambao watasimamia vizuri afua hii ya lishe"

Awali akitoa taarifa ya hali ya Lishe Mkoani humo Afisa Lishe mkoa wa Katavi Asnath Mrema amesema Mkoa wa Katavi uko nafasi ya 14 Kitaifa. 

Amesema moja ya sababu ya Mkoa huo kushika nafasi ya 14 ni kutokana na Halmashauri za Mkoa huo kushindwa kutoa fedha za afua za Lishe kama ilivyoainishwa kwenye Bajeti na mipango.

Katika hatua za makusudi,RC Mrindoko amesainiana na kukabidhi mikataba ya Lishe na wakuu wa Wilaya za mkoa huo lengo likiwa ni utekelezaji wa kupambana na lishe duni kuanzia ngazi ya Wilaya hadi ngazi ya kitongoji.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI - MWAKA 2025 April 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ELIMU JUMUISHI NA MALEZI BORA YA MTOTO YAJADILIWA KATIKA KIKAO CHA TATHMINI MKOA WA KATAVI

    October 08, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAFUNGUA NYUMBA YA WATUMISHI (2 KWA 1) KATA YA ISANJANDUGU.

    September 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI DARAJA LA MAWE KIGAMBONI.

    September 24, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA WILAYA YA MPANDA

    September 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved