• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

SEPTEMBA 2025, MWISHO WA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI KWENYE TAASISI ZINAZO HUDUMIA WATU ZAIDI YA 100. HUDUMIA

Posted on: July 23rd, 2025

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko, ametangaza muda wa nyongeza hadi Septemba 25,2025, kuwa mwisho wa matumizi ya mkaa na  kuni katika taasisi za umma na binafsi zinazohudumia watu zaidi ya 100 mkoani hapa.

Katazo hili ni muendelezo wa kampeni ya kitaifa ya kubadili matumizi ya nishati ya kupikia kutoka kuni na mkaa ambazo zimekuwa na athari hasi katika mazingira kwenda kutumia nishati safi ya kupikia ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ambapo leo Julai 22,2025 amesema ongezeko la muda limetokananna sababu mbalimbali ambazo ilitakiwa muda wa ziada ili ziweze kukamilika.


"Serikali imeendelea kufanya maboresho  mbalimbali katika jamii hivyo kulingana na maelekezo ya serikali ilipaswa hadi kufika Januari 31,2024 taasisi zote zinazohudumia kuanzia watu kati ya 100 hadi 300 taasisi hizo zilitakiwa ziwe zimeanza kutumia nishati safi ya kupikia lakini kwa kushauriana na viongozi wengine tumeshauriana na kuona kwamba tutoe muda kidogo ili changamoto zilizokuwepo ziweze kutatulia na matumizinya nishati safi ya kupikia yaanze mara moja," amesema Mhe. Mrindoko.

Katika hatua nyingine  Mhe Mrindoko amepokea taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya elimu mkoani hapa ambapo Afisa elimu Mkoa wa Katavi Dafroza Ndalichako amesema mkoa umepokea jumla ya bilioni 4.2 katika shule 44 kwaajili ya kutekeleza shuguli za ujenzi wa shule mpya 5 ujenzi wa vyumba vya madarasa ya elimu ya msingi matano, ujenzi wa madarasa ya mfano ya elimu ya awali 10 na ujenzi wa matundu 192 ya vyoo.



Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SEPTEMBA 2025, MWISHO WA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI KWENYE TAASISI ZINAZO HUDUMIA WATU ZAIDI YA 100. HUDUMIA

    July 23, 2025
  • KATAVI YAANZA KUYABAINISHA MAENEO HATARISHI YANAYOCHOCHEA MAGONJWA YA MLIPUKO.

    July 22, 2025
  • HUDUMA YA KUCHUJA DAMU (DIALYSIS): TUMAINI JIPYA KWA WAGONJWA WA FIGO KATAVI.

    July 21, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUTUMIA MADHABAHU KUKEMEA NA KUELIMISHA UMMA JUU YA MADHARA YA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI.

    July 18, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved