• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC MRINDOKO AUNGANA NA MAMIA YA WANANCHI KATIKA MAZISHI YA ASKOFU DKT. LABAN NDIMUBENYA.

Posted on: February 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, ameungana na mamia ya waumini na wakazi wa mkoa wa Katavi katika mazishi ya Askofu Dkt. Laban Ndimubenya, aliyekuwa kiongozi wa kiroho na mtetezi wa haki za jamii. Mazishi hayo yamefanyika katika Kanisa la New Harvest Church, Mikocheni, Manispaa ya Mpanda yakiambatana na majonzi makubwa kutoka kwa waombolezaji mbalimbali.

Katika hotuba yake, Mhe. Mrindoko ameeleza kuwa kifo cha Askofu Dkt. Laban ni pigo kubwa kwa Taifa, si kwa Kanisa pekee, kwani marehemu alikuwa mwalimu wa maadili mema, mshauri wa jamii, na kiongozi aliyekuwa mstari wa mbele katika kuleta maendeleo.


"Tumepoteza mtu wa pekee, mtu wa hekima na busara, aliyejitolea kwa dhati kuhudumia jamii kwa moyo wa upendo. Mchango wake haukuwa tu katika uwanja wa kiroho bali pia katika sekta za elimu, afya, na ustawi wa jamii. Alikuwa nguzo muhimu ya maendeleo katika mkoa huu wa Katavi na nchi kwa ujumla," amesema RC Mrindoko huku akitoa pole kwa familia, waumini, na wote walioguswa na msiba huo.

RC Mrindoko ameongeza kuwa Serikali itaendelea kumuenzi Askofu Dkt. Laban kwa kuthamini mchango wake na kuendeleza juhudi alizozianzisha katika sekta mbalimbali.


Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Mhe. Sebastian Kapufi, amemuelezea marehemu kama mtu aliyekuwa na maono makubwa kwa jamii na mwenye bidii isiyo na kifani katika kupigania maendeleo ya watu wake.

"Marehemu alikuwa kiongozi mwenye uthubutu, aliyeamini katika elimu na maendeleo ya jamii. Ameacha somo kubwa kwetu sote kwamba elimu haina mwisho na kwamba tunapaswa kuifuatilia kwa gharama yoyote ile ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii zetu," amesema Mhe. Kapufi.

Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi wa Serikali, maaskofu kutoka madhehebu mbalimbali ndani na nje ya nchi, pamoja na wananchi mbalimbaliwa mkoa wa Katavi.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved