• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC KATAVI ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOGUSWA NA MSIBA WA AJALI YA BASI

Posted on: March 7th, 2023

RC KATAVI ATOA POLE KWA WANANCHI WALIOGUSWA NA MSIBA WA AJALI YA BASI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko amewapa pole wananchi wote walioguswa na vifo vya watu 9 vilivyotokea jana baada ya Basi la abiria kupata ajali katika eneo la Nkondwe Wilayani Tanganyika, Mkoa wa Katavi.

Mhe. Mrindoko ametoa pole hizo leo wakati akimshukuru Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Katavi Ndugu Iddi Kimanta aliyefika ofisini kwake kumpa pole kutokana na madhila ya ajali hiyo.

Amesema ajali ya Basi hilo (kwa jina Kombas) ilitokea katika kona kali ya eneo la Nkondwe wakati Dereva wa Basi hilo aliposhindwa kukata kona hiyo na Basi kusesereka zaidi ya mita 150 na kutumbukia katika Korongo lenye urefu wa mita 75 kwenda chini.

Mhe. Mrindoko ametaja watu waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni 9 na wale waiojeruhiwa katika ajali hiyo ni watu ni 30.

Amesema hali ya majeruhi waliofikishwa katika Hospitali za Majalila, Manispaa na Hospitali ya Rufaa kwa ajili ya huduma za matibabu inaendelea vizuri ambapo majeruhi 11 wameruhusiwa kuondoka hospitalini na wengine 19 bado wanaendelea na matibabu. Kwa wale wanaohitaji huduma za kibingwa tunaendelea kusimamia ili majeruhi hao na wengine wote wanapata huduma wanazostahili.

Mhe. Mrindoko amesema tunaendelea kuwaombea majeruhi kwa Mwenyezi Mungu ili awajalie  uponyaji wa haraka na baadaye warejee kwenye majukumu yao.

Serikali ya Mkoa imetoa utaratibu kwa wananchi waliofiwa na ndugu zao kwenda katika Hospitali kutambua miili ya ndugu zao na kuichukua kwa ajii mazishi katika familia zao.

Leo kuanzia saa 7:00 mchana vingozi wa serikali, vyama vya siasa na wananchi wote watafanya ibada ya kuaga miili ya marehemu kwa ajiili ya mazishi kwenye familia zao.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved