• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC Katavi atoa Mwezi Mmoja kukamilika Ujenzi Hospitali ya Wilaya Tanganyika.

Posted on: July 20th, 2022

Pichani:Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko katika ukaguzi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Tanganyika 20 Julai 2022.

Katavi-Majalila

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa Mwezi Mmoja kwa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kuhakikisha kuwa wanakamilisha Ujenzi wa majengo  ya Wodi ya Wanawake ,Wanaume na Watoto ili Wananchi waanze kupata huduma katika Hospitali hiyo.

Mhe.Mrindoko ametoa agizo hilo baada ya kutoridhishwa na kasi ya Ujenzi wa Majengo hayo yanayoendelea kujengwa katika Hospitali hiyo ambapo ameeleza kuwa kuchelewa kutumika kwa majengo hayo kunasababisha kushusha thamani ya fedha na kuathiri uteklezaji wa malengo mahsusi ya Serikali.

Aidha Mhe.Mwanamvua pamoja na maagizo aliyotoa ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa maendeleo mazuri ya Ujenzi wa Jengo la ICU katika Hospitali hiyo.

Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Daktari Alex Mrema ameeleza sababu kubwa inayoathiri kasi ya ujenzi wa baadhi ya Majengo katika Hospitali hiyo ya Wilaya kuwa ni pamoja na kuwepo kwa Mfumuko wa bei kutokana na gharama za bidhaa za Ujenzi kutoka viwandani kuwa juu,kuchelewa kufika kwa vifaa vya Ujenzi kutokana na umbali hadi kufikia eneo la Ujenzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved