• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

MWENGE WA UHURU WAFUNGUA NYUMBA YA WATUMISHI (2 KWA 1) KATA YA ISANJANDUGU.

Posted on: September 25th, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu Ismail Alli Ussi ameongoza hafla ya ufunguzi wa mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi (2 kwa 1) katika Shule ya Sekondari Anna Lupembe, Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, mkoani Katavi, leo Alhamisi Septemba 25, 2025.

Mradi huo unaotekelezwa kupitia Programu ya Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) na umegharimu shilingi 1,110,000,000, fedha zinazotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kuboresha mazingira ya kufundishia na kufundishia.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji, Mwalimu Mkuu wa shule ameeleza kuwa ujenzi wa nyumba hizo umekamilika hatua inayotarajiwa kuongeza ari ya walimu, kuimarisha utendaji wa kazi na kupunguza changamoto za makazi kwa watumishi wa shule hiyo.


Akizungumza mara baada ya kukagua na kufungua mradi huo, Ndugu Ussi anatoa pongezi kwa Halmashauri ya Nsimbo, uongozi wa shule na wananchi kwa usimamizi makini na matumizi bora ya fedha za umma. Anasisitiza kuwa ubora wa ujenzi unathibitisha dhamira ya Serikali katika kuhakikisha walimu wanapata makazi salama na yenye hadhi, jambo linalochochea ari ya kutoa elimu bora.

“Mradi huu ni mfano wa uwajibikaji na matumizi sahihi ya rasilimali za Serikali. Nyumba hizi zinawapa walimu heshima na mazingira bora ya kuishi, jambo linaloongeza hamasa katika kazi yao ya malezi na ufundishaji,” amesema Ussi.


Katika hatua nyingine, Ndugu Ussi amezindua klabu mbalimbali shuleni hapo ikiwemo Klabu ya Lishe, Klabu ya Kupinga Rushwa na Klabu ya Kupamba na Rushwa, kama njia ya kuhamasisha maadili, afya na uwajibikaji miongoni mwa wanafunzi na jamii.

Aidha, kiongozi huyo ametoa vyeti vya pongezi kwa klabu hizo kama ishara ya kutambua mchango wao katika malezi ya kizazi chenye maadili bora. Sambamba na hatua hiyo, anagawa viti vitatu vya magurudumu kwa watu wenye ulemavu pamoja na vikinga jua kwa watu wenye ualbino katika Kata hiyo, hatua inayolenga kuimarisha usawa wa kijamii na kuwajengea mazingira salama ya maisha.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI - MWAKA 2025 April 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAFUNGUA NYUMBA YA WATUMISHI (2 KWA 1) KATA YA ISANJANDUGU.

    September 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI DARAJA LA MAWE KIGAMBONI.

    September 24, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA WILAYA YA MPANDA

    September 24, 2025
  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI YA MAJI MPANDA, ATOA MAAGIZO YA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI.

    September 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved