• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Kuimarika miundombinu ya uchukuzi Katavi kwachochea ukuaji sekta ya Kilimo.

Posted on: November 24th, 2022

Na: Mwandishi wetu.

Kuimarika mara dufu kwa miundombinu ya uchukuzi Mkoani Katavi kumechangia kwa kiasi kikubwa  ukuaji wa uchumi pamoja na Mkoa huo kuendelea  kuwa kitovu cha uzalishaji  na kujitosheleza kwa chakula  Mkuu wa Mkoa wa Katavi Bi.Mwanamvua Hoza  Mrindoko ameeleza.

Bi Mrindoko ameyasema hayo katika kikao cha Bodi ya Barabara kilichoketi 23 Novemba 2022 katika ukumbi wa Manispaa ya Mpanda kujadili utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Ujenzi wa Miundombinu ya barabara Mkoani humo.

 Amesema kuimarika kwa miundombinu mbalimbali ya uchukuzi ikiwemo Barabara za Miji na Vijijini kumerahisisha shughuli za uchukuzi ikiwemo uingizaji wa pembejeo mbalimbali za kilimo kwa wakati pamoja na usafirishaji wa Mazao ya chakula hali inayosaidia kwa kiasi kikubwa kukuza sekta ya Uzalishaji.

Kutokana na Serikali kuwekeza fedha nyingi katika Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Barabara  Mkuu huyo wa Mkoa  amewataka Watumishi wa Umma Mkoani humo kutimiza wajibu wao kikamilifu ili kuhakikisha kuwa adhma ya Serikali kuboresha miundombinu ili kuinua uchumi wa Wananchi inatimia.

Amesisitiza Watumishi wa Umma kushirikiana vyema na Wabunge Mkoani humo kutatua changamoto chache zilizopo katika Sekta ya Barabara pamoja na sekta zingine  ndani ya Mkoa  hatua itakayoharakisha  utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI - MWAKA 2025 April 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI YA MAJI MPANDA, ATOA MAAGIZO YA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI.

    September 03, 2025
  • RC MRINDOKO AHIMIZA AMANI NA USHIRIKIANO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025.

    September 01, 2025
  • MFUMO WA E - MABORESHO KUIMARISHA UTENDAJI KWA WATUMISHI WA UMMA.

    August 26, 2025
  • MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA YAFIKIA TAMATI, DC BUSWELU AWASISITIZA UZALENDO

    August 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved