• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Kilele Sikukuu ya Wakulima Nanenane, Rais Samia ahimiza Wananchi kuwekeza katika Kilimo.

Posted on: August 9th, 2022

Pichani:Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi katika Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane  katika Viwanjwa vya John Mwakangare jijijiini Mbeya 8 Agosti 2022.


Kutoka Viwanja vya John Mwakangare Jijini Mbeya.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewaagiza wakuu wa Mikoa yote Nchini kutenga Maeneo yatakayoyumika kwa ajili ya Kilimo cha mazao yanayozalishwa katika mikoa husika.

Mhe.Rais Samia ametoa agizo hilo alipohutubia kwenye kilele cha cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane iliyofanyika katika viwanja vya John Mwakangare jijini Mbeya ambapo amewataka wakulima kutumia maeneo yatakayotengwa  kuzalisha kibiashara ili kujitosheleza kwa chakula na kuuza katika Nchi jirani.

Aidha Mhe.Rais Samia amewataka wakulima kote Nchini kujisajili ili kupata vitambulisho ambavyo vitatumika kupata ruzuku ya mbolea kuendana na kila Msimu wa Kilimo.

Mhe.Rais Samia pia amemuagiza Waziri wa Mifugo na Uvuvi kushirikiana na Chuo cha Kilimo( SUA )kuwajengea uwezo vijana wanaohitimu katika chuo hicho ili waweze kujiajiri katika Sekta ya Kilimo.

 Katika hatua nyingine Mhe.Rais ameitaka Wizara ya Mifugo Wizara ya Mifugo na Uvuvi kufuta Leseni za vitalu vya ranchi vilivyokodishwa nan a kujua mapato yatokanayo na Vitalu hivyo.

Aidha Rais Samia ameitaka bodi ya wakurugenzi na Ugongozi NARCO kufanya uchambuzi wa vitalu vya Ranchi vilivyokodishwa na kujua mapato yatokanayo na vitalu hivyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI - MWAKA 2025 April 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA SEKTA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI MKOA WA KATAVI August 27, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AKAGUA MIRADI YA MAJI MPANDA, ATOA MAAGIZO YA KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI.

    September 03, 2025
  • RC MRINDOKO AHIMIZA AMANI NA USHIRIKIANO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025.

    September 01, 2025
  • MFUMO WA E - MABORESHO KUIMARISHA UTENDAJI KWA WATUMISHI WA UMMA.

    August 26, 2025
  • MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA YAFIKIA TAMATI, DC BUSWELU AWASISITIZA UZALENDO

    August 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved