• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Kero za Wananchi

Posted on: April 14th, 2018

MKUU WA MKOA WA KATAVI AFANYA MKUTANO WA HADHARA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Leo Jumamosi  April 14,2018,Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Meja Jenerali (Mst) Raphael Muhuga amefanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Azimio Mjini Mpanda kusikiliza kero za wananchi.


Mkuu huyo wa Mkoa wa Katavi aliyekuwa ameambatana na Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa,Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya ya Mpanda, Mlele, Nsimbo, Mpimbwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Mpanda, Wakuu wa Taasisi mbalimbali za umma zilizopo Mkoa wa Katavi na Wakuu wa Idara wote kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda. Mkuu wa Mkoa wa Katavi alisikiliza kero za wananchi walizowasilisha mbele yake, kisha walalamikaji walipata fursa ya kuwasilisha kero zao mbele ya Dawati la Malalamiko la Mkoa kwa ajili ya kuhifadhi kumbukumbu katika maandishi na kufuatilia kwa ukaribu utekelezaji wa kero hizo za wananchi zinazohitaji majibu ya haraka.

Miongoni mwa kero zilizoibuka eneo la mkutano huo ni pamoja na kero za ardhi ambapo wananchi walieleza kutoridhishwa na namna ardhi inavyotolewa na jinsi migogoro ya ardhi inavyotatuliwa.

Wananchi pia waliwalalamikia askari wa kampuni binafsi katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda ambao kwa kiasi kikubwa wameonekana kutokujali shida za dharula kwa wananchi wanaohitajika kupeleka dawa na chakula kwa wagonjwa waliolazwa.


Pia, amewataka watumishi wa umma katika Mkoa wake kuzingatia maadili yao ya kazi katika kuwatumikia wananchi huku akiwasisitiza kutatua kero za wananchi kwa wakati. Mkuu wa Mkoa ameahidi kuitisha tena Mkutano wa hadhara mwezi wa tano kwa ajili ya kujibu hoja zilizotolewa. Jumla ya Hoja 97 zilitolewa na wananchi hao huku hoja nyingi zikiwa ni hoja za Idara ya Ardhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved