• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

KAMATI YA SIASA MKOA WA KATAVI YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO H/W TANGANYIKA

Posted on: December 5th, 2024


Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapunduzi CCM Mkoa wa Katavi imetembele kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, na kuridhishwa na kasi kubwa ya maendeleo ya miradi hiyo.

Kamati hiyo iliyoambatana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Katavi Ndg. Iddy Kimanta, viongozi mbalimbali wa CCM, wataalam wa kada tofauti tofauti na watumishi wa Halmashauri.

Katika ziara hiyo ilitembelea miradi ya ujenzi wa barabara ya Ifinsi-Bugwe yenye urefu wa km 21 kwa kiwango cha changarawe, Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na matundu 10 ya vyoo katika Shule ya Msingi Ifinsi, Ujenzi wa Shule Mpya ya Kamsenga, Ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya lami inayoanzia Vikonge kwenda Kigoma na Ujenzi wa Bweni la wasichana shule ya sekondari Majalila.

Ziara hiyo ilitamatika kwa Ndg. Kimanta kutoa maagizo ya ukamilishwaji wa miradi ambayo bado haijakamilika kwa muda muafaka.

“Nipongeze sana kwa H/W ya Tanganyika miradi yote inaendelea vizuri na naomba muendeleze juhudi hizi” Mhe Kimanta-M/kiti wa CCM Mkoa wa Katavi.

Aidha Chama cha Mapinduzi CCM kimetoa maagizo kwa H/W ya Tanganyika kujenga utamaduni wa kutembelea miradi ikiwemo ukamilishaji wa kuezeka majengo ya madarasa manne shule ya Msingi Ifinsi.

“Naomba mjenge utamaduni wa kutembelea miradi mara kwa mara ili kubaini mapungufu na kurekebisha. Kamsenga Mhe Rais Dkt Samia ameleta Sh Mil 600, hizi kamati za ujenzi wajengewe uwezo wa kusimamia miradi”

“Lakini pia maagizo ya chama yale madarasa manne ya shule ya msingi Ifinsi, mpaka kufikia Februari 2025 yawe yameshafunikwa na bati, tuthamini nguvu ya wananchi wanaoanzisha miradi hii” Ndg. Kimanta, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Katavi. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved