• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Homera Marathon 2019

Posted on: September 10th, 2019

Wakazi wa Mkoa wa Katavi kwa mara ya kwanza wamejitokeza kushiriki mashindano ya  mbio za riadha za kilometa 20, kilometa 10, 5, 3 na 1 zinazojulikana kwa jina la Homera Marathon 2019 kwa lengo la kuchangia fedha za ukarabati wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi inayokabiliwa na uchakavu mkubwa.

Mbio hizo zimeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Homera ambaye amewataka wakazi wa Mkoa huo kuchangia hospitali hiyo

Baadhi ya washiriki wa mbio hizo wameeleza dhana nzima ya mbio hizo kuwa ni pamoja na kuimarisha afya, kuboresha miundombinu ya hospitali ya Mkoa wa Katavi.

Hospitali ya Wilaya ya Mpanda ambayo sasa inatumika kama Hospitali teule ya rufaa ya Mkoa wa Katavi ilijengwa tangu mwaka 1957.

Lengo la lililowekwa ni kukusanya shilingi milioni 194, lengo hilo lilivukwa kwa kukusanya jumla ya shilingi milioni 250 ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA KATAVI APIGA STOP UNYANYASAJI SEHEMU ZA KAZI

    May 01, 2023
  • SERIKALI MKOA WA KATAVI KUPANDISHA MADARAJA WATUMISHI 823

    May 01, 2023
  • RC KATAVI AZINDUA JENGO LA MIONZI NA WODI YA WATOTO WANAWAKE NA WANAUME

    April 27, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KATAVI AWAONYA MAFUNDI WA KULALAMIKA DHIDI YA SERIKALI

    April 26, 2023
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved