• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Livestock

SEKTA YA MIFUGO MKOANI KATAVI

Katika Mkoa wa Katavi sekta ya mifugo ina nafasi kubwa katika kuchangia upatikanaji wa lishe bora, ajira, kipato kwa wananchi na pato la Taifa kwa ujumla  kwa njia ya biashara ya mifugo hai na mazao yake. Pia sekta ya mifugo huchangia kwa kiwango kikubwa katika kuongeza uzalishaji wa mazao kupitia matumizi ya wanyama kazi na samadi ambayo hutumika kurutubisha ardhi.

Uchumi wa Mkoa unategemea zaidi kilimo (ufugaji na uzalishaji mazao) ambacho kinachangia asilimia 90 ya pato la Mkoa pia  kinaajiri zaidi ya  asilimia 90 ya wakazi wote. Mifugo inayofugwa ni ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata, kanga, njiwa, sungura, nguruwe, paka,mbwa na punda.



2.1 Idadi ya Mifugo 

Kwa sasa Mkoa una jumla ya ng’ombe 501,203, mbuzi 147,173, kondoo 45,414 nguruwe 14,813, kuku 630,057, bata 39,657, punda 918, njiwa 24,426, Kanga 1,863, Sungura 954 na ndezi panya 736 (Jedwali Na. 1).

 

Fursa za uwekezaji katika Sekta ya Mifugo

  • Unenepeshaji wa Mifugo na Ujenzi wa Machinjio za Kisasa
  • Ujenzi wa Viwanda vya kuchakata  mazao ya mifugo  kama vile nyama, maziwa na ngozi
  • Ufugaji wa kuku wa mayai na nyama
  • Uzalishaji wa Malisho ya mifugo
  • Ujenzi wa Viwanda vya kusindika Vyakula vya mifugo
  • Utoaji wa Huduma za Afya na Uzalishaji Mifugo

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano June 18, 2017
  • Fomu za Kujiunga Kidato cha Tano kwa Shule za Sekondari za Serikali 2018 Mkoa wa Katavi Katavi June 20, 2017
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO NCHINI CHINA April 14, 2017
  • Maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani Mkoani Katavi Tarehe 15/5/2017 May 12, 2017
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ziara ya Ukaguzi wa Kituo cha Afya cha Mishamo

    February 14, 2019
  • Ziara ya RC

    February 08, 2019
  • MAMLAKA YA MAWALIANO KWA WOTE YAKABIDHI MSADA WA COMPUTER ZA MILIONI 46 KWA MANISPAA YA MPANDA

    February 04, 2019
  • Ziara ya Mhe Waziri wa Tamisemi

    December 04, 2018
  • Tazama Zote

Video

HATI
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • WATUMISHI PORTAL
  • MWENGE BLOG-KATAVI
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved