• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

WANUFAIKA TASAF WAJIVUNIA MAFANIKIO.

Posted on: June 27th, 2025

Wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF awamu ya awamu ya tatu kipindi cha pili mkoani Katavi wameendelea kujivunia mafanikio kwa kuonyesha namna ambavyo kiasi kidogo cha fedha wanachokipata kimefanikisha kubadili maisha yao.

Ni usuhuda ambao wameutoa katika kikao cha tathimini ya utekelezaji katika eneo la utendaji wa mpango huo kilichofanyika leo Juni 27, 2025 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi ambapo wamesema mbali na kupatiwa pesa taslim wamepatiwa maarifa ambayo yamebadili maisha yao.

"kabla ya mpango huu nilikuwa katika mazingira hatarishi yaliyojaa umasiki na sikuweza kuihudumia familia yangu hata kwa mlo mmoja wa uhakika, kwa sasa nimaweza kubadili milo hadi kufikia milo mitatu kwa siku, ninasomesha watoto, ninamifugo na ninaendesha kilimo cha kisasa kutokana na elimu ya kilimo cha kisasa ambayo nilipatiwa na wawezeshaji," amesema Hamisa Selemani mnufaika wa Tasaf.

Aidha Veronika Kipeta ambaye ni mnufaika tangu 2021 amesema kutokana na kiasi kidogo anachokipata kimemuwezesha kupata mtaji na hivyo anaendesha biashara ndogo ambayo inamnufaisha kiasi cha kumudu gharama za kusomesha watoto na hadi kufikia ngazi ya elimu ya juu ambapo watoto hao pia ni wanufaika na serikali imewapatia mkopo wa elimu ya juu kwa 100%

Kuelekea kumalizika kwa mradi huu wa Tasaf awamu ya tatu kipindi cha pili Afisa uwezeshaji na ufatiliaji kutoka Tasaf amesema wanufaika wamejengwa kwenye vikundi ambavyo viliwawezesha kupata ujuzi ambao utawawezesha kujisimamia kiuchumi kwa kusaidizana na wataalam walipo katika halmashauri.

Awali akifungua kikao hicho katibu tawala mkoa wa Katavi, Albert Msovela amewata wataalam katika halmashauri za wilaya kuendelea kuwasimamia kwa kuwapa elimu stahiki ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea mazingira wezeshi ili shughuli za kiuchumi wanazozifanya zikawe na tija.


Amesema kutokana na ushuhuda uliotolewa na wanufaika wa mpango wa Tasaf ni wazi kwamba wataalamu wakiendelea kuwasimamia watajijenga zaidi kiuchumi kwani mpango huo unapokamilika haina maana ya kuwa shughuli za kiuchumi na uzalishaji zitasimama bali ni mwanzo wa wao kuonyesha namna ambavyo wanaweza kujisimamia kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SEPTEMBA 2025, MWISHO WA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI KWENYE TAASISI ZINAZO HUDUMIA WATU ZAIDI YA 100. HUDUMIA

    July 23, 2025
  • KATAVI YAANZA KUYABAINISHA MAENEO HATARISHI YANAYOCHOCHEA MAGONJWA YA MLIPUKO.

    July 22, 2025
  • HUDUMA YA KUCHUJA DAMU (DIALYSIS): TUMAINI JIPYA KWA WAGONJWA WA FIGO KATAVI.

    July 21, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUTUMIA MADHABAHU KUKEMEA NA KUELIMISHA UMMA JUU YA MADHARA YA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI.

    July 18, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved