• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Katavi Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
  • Services
  • Administration
    • Departments
      • Adm and HR
      • Planning and Coordination
      • LGA.s
      • Infrustructures
      • EPSS
      • Water
      • Healthy
      • Education
    • Units
      • Information and Communication Technology
      • Finance and Accounts
      • Procurement and Management
      • Legal
      • Internal Auditor
    • Organization Structure
  • Publications
    • Guidelines
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Going Projects
  • Districts
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Tourism
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Serikali kuhakiki upya ugawaji maeneo yenye Migogoro Katavi,RC aiomba tume kuharakisha utatuzi.

Posted on: October 12th, 2022

Mwenyekiti wa Tume ya Mawaziri Nane iliyoundwa kutatua migogoro ya Ardhi Mhe.Mashimba Ndaki akizungumza katika ukumbi wa Manispaa ya Mpanda Mara baada ya kuwasili Mkoani Katavi kwa ajili ya ziara kutatua migogoro ya ardhi.

Serikali imeridhia kufanya upya uhakiki wa ugawaji wa maeneo ambayo yameonekana kuwa na migogoro ya ardhi mkoani Katavi.

Akizungumza baada ya kutembelea baadhi ya maeneo hayo ikiwemo eneo la Visima Viwili lililopo katika Kata ya Kasekese wilayani Tanganyika,Mwenyeketi wa kamati ya mawaziri nane wa kisekta ambaye ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki ameelekeza kufanyika upya tathmini kwa maeneo yote Mkoani Katavi yenye migogoro ya mipaka baina ya Wananchi na Mamlaka za Uhifadhi ili kuja na suluhu ya kudumu ya kuondoa Migogoro hiyo

Aidha Mhe.Ndaki amewaomba Wananchi Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi  kuepuka kuendelea kufanya shughuli za  makazi katika maeneo ambayo hawana uhakika wa kuendelea kuishi kusudi kuepuka usumbufu na wakati mwingine hasara zisizokuwa na ulazima.

Awali akizungumza wakati wa utambulisho Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko aliiomba tume hiyo   ya Mawaziri Nane inayozunguka Nchi nzima   kutatua Migogoro mbalimbali ya ardhi kuharakisha utatuzi wa migogoro mbalimbali ya ardhi inayoendelea baina ya Wananchi na maeneo ya hifadhi Mkoani Katavi ili kutoa fursa kwa Wananchi kufanya maandalizi ya mashamba kwa wakati ili kuendana na msimu wa Mvua ambao umekaribia.

Kwa upande wao wananchi wameomba kamati hiyo kushughulikia kwa haraka jambo hilo ambalo limekuwa likisababisha migogoro inayojirudiarudia.

Kamati hiyo ya Wizara nane za kisekta imeundwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Kilimo na Ushirika, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira)kwa ajili ya kutembelea maeneo yenye migogoro ya ardhi nchini na baadae kutoa mapendekezo ya namna ya kusuluhisha migogoro hiyo.

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • View All

Latest News

  • BEVAC YAWEKA MSUKUMO MPYA KWENYE SEKTA YA UFUGAJI NYUKI NSIMBO.

    July 10, 2025
  • SERIKALI YANUIA KUWALINDA WAANDISHI WA HABARI KATIKA KIPINDI CHA UCHAGUZI

    July 10, 2025
  • NDANI YA MIAKA MINNE KATAVI YAPOKEA TRILIONI 1.345

    July 05, 2025
  • MRADI WA BEVAC WABORESHA SEKTA YA UFUGAJI NYUKI MKOANI KATAVI.

    July 09, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
More Videos

Quick Links

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Related Links

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Location Map

Contact Us

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Postal Address: Box 235, Mpanda -Katavi

    Telephone: 025-2957108

    Mobile:

    Email: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Katavi RS . All rights reserved.