• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Katavi Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
  • Services
  • Administration
    • Departments
      • Adm and HR
      • Planning and Coordination
      • LGA.s
      • Infrustructures
      • EPSS
      • Water
      • Healthy
      • Education
    • Units
      • Information and Communication Technology
      • Finance and Accounts
      • Procurement and Management
      • Legal
      • Internal Auditor
    • Organization Structure
  • Publications
    • Guidelines
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Going Projects
  • Districts
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Tourism
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC MRINDOKO AKUTANA NA VIONGOZI WA TABEDO KUJADILI MAENDELEO YA UFUGAJI NYUKI KATAVI

Posted on: January 2nd, 2025





Kikao Kati ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Viongozi wa TABEDO Kujadili Maendeleo ya Ufugaji Nyuki Tanzania.

Leo, Januari 2, 2025, kikao muhimu kimefanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi kati ya Mkuu wa Mkoa, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, na viongozi wapya wa Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Tanzania (TABEDO). Kikao hicho kimekuwa na dhima ya kuwatambulisha viongozi wapya wa TABEDO pamoja na kuwasilisha malengo na mikakati yao ya kuimarisha sekta ya ufugaji wa nyuki nchini.

Viongozi wa TABEDO wamemuomba Mkuu wa Mkoa kushirikiana na Halmashauri zote za Mkoa wa Katavi kuhakikisha wanachama wa chama hicho wanapata msaada wa pamoja na kuhakikisha vikundi vyote vya wafugaji wa nyuki ndani ya mkoa vinajumuishwa rasmi kama wanachama wa TABEDO.

Rc Mrindoko, akizungumza katika kikao hicho, amesema kuwa Mkoa wa Katavi bado una fursa kubwa ya kuendeleza ufugaji wa nyuki kama shughuli ya kibiashara yenye manufaa kwa wananchi. Amebainisha kuwa mkoa umejipanga kuhakikisha sekta hiyo inapata kipaumbele cha juu, na ameongeza kuwa yapo maeneo mengi yanayoweza kutumika kuimarisha ufugaji wa nyuki kwa tija kubwa.

Aidha, ameongeza kuwa viongozi wa TABEDO wanapaswa kujipambanua kwa wadau wao wa chini, hususan wafugaji wa nyuki, na kuhakikisha wanajenga mnyororo wa thamani wa mazao ya nyuki kama asali na nta. Mheshimiwa Mrindoko kupitia kikao hicho kutoa wito kwa wawekezaji na wadau mbalimbali wenye nia njema ya kuwekeza katika sekta hiyo, akisisitiza kuwa Mkoa wa Katavi una uwezo mkubwa wa kuendeleza ufugaji wa nyuki na shughuli za uchakataji wa mazao hayo.

Ametoa hakikisho kwamba serikali ya mkoa itashirikiana kwa karibu na TABEDO na wadau wengine kuhakikisha sekta ya ufugaji nyuki inakua na kuchangia maendeleo ya kiuchumi kwa mkoa na taifa kwa ujumla.

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • View All

Latest News

  • RC MRINDOKO ATOA WITO KWA VIONGOZI KUHAMASISHA MATUMIZI YA CHAKULA CHENYE VIRUTUBISHI ILI KUTOKOMEZA UDUMAVU.

    June 10, 2025
  • RC MRINDOKO AZINDUA MSIMU WA UNUNUZI WA PAMBA NA MAZAO MENGINE KWA MWAKA 2025/26

    June 09, 2025
  • RC MRINDOKO AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA KATAVI, ATOA WITO WA AMANI NA USHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025.

    June 05, 2025
  • JAJI MKUU WA TANZANIA ASISITIZA UADILIFU NA USHIRIKIANO WA WADAU KATIKA UTOAJI HAKI.

    May 28, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
More Videos

Quick Links

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Related Links

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Location Map

Contact Us

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Postal Address: Box 235, Mpanda -Katavi

    Telephone: 025-2957108

    Mobile:

    Email: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Katavi RS . All rights reserved.