• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Katavi Regional Website

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
  • Services
  • Administration
    • Departments
      • Adm and HR
      • Planning and Coordination
      • LGA.s
      • Infrustructures
      • EPSS
      • Water
      • Healthy
      • Education
    • Units
      • Information and Communication Technology
      • Finance and Accounts
      • Procurement and Management
      • Legal
      • Internal Auditor
    • Organization Structure
  • Publications
    • Guidelines
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Going Projects
  • Districts
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Tourism
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

KATAVI YAZIDI KUNG'ARA UUZAJI WA KABONI

Posted on: May 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika kwa utekelezaji mahili wa miradi ya kimikakati inayoendelea wilayani hapo kutokana na mapato ya ndani ya biashara kaboni.

Akizungumza katika Baraza maalumu la madiwani lililoketi leo Mei 13, 2025 kwa ajili ya kujadili taarifa za utekelezaji wa miradi ya Bakaa inayoendelea na miradi ya  kimikakati katika halmashauri ya wilaya Tanganyika amesema miradi mingi imetekelezwa na kukamilika na inaketa manufaa kwa wananchi wa halmashauri hiyo.

                                                        Picha: Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko akizungumza katika

              baraza maalumu la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika.

"Kupitia biashara ya kaboni mmebuni miradi mingi kwakweli hongereni sana, tunaamini halmashauri hii itakuwa mfano wa kuigwa ndani ya mkoa wa Katavi na hata nje ya mkoa na kuwa sehemu ya kujakujifunza kuhusu masuala ya kaboni," amesema Mh. Mrindoko.


                                       Picha: Baadhi ya wajumbe wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika

 wakiwa katika kikao cha baraza la madiwani.

Akitoa taarifa ya hali halisi  ya uwekezaji wa miradi ya kimikakati afisa mipango wa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Deus Luziga amesema vijiji kupitia mapato yake ya awamu ya Tisa na Kumi vilitenga jumla ya Shs. 436,000,000.

Ikiwa ni fedha za awali za utekelezaji wa miradi mkakati na kati ya fedha hizi kiasi cha Shs. 400,000,000 kimewekezwa kwenye mfuko wa dhamana wa SAMIA BOND. Wakati mchakato wa utekelezaji wa miradi mingine ukiwa unaendelea.

Picha: Baadhi ya wajumbe wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika

 wakiwa katika kikao cha baraza la madiwani.

"Katika kuongeza tija ya shughuli za kilimo ili kuboresha maisha ya Wananchi wa Wilaya ya Tanganyika, Halmashauri imeweza kufanya Usajili wa wakulima 30 kila kijiji na usajili wa mashamba yao, kuchukua taarifa za awali (base information), kutoa Elimu ya uzalishaji wa mahindi kwa tija, kuchukua sampuli za udongo(jumla ya sampuli 389 zimechukuliwa) katika mashamba ya wakulima wote 240 yaani 30," amesema Luziga.

Kwa upande wake afisa tawala msaidizi uchumi na uzalishaji Nehemia James akizungumza na madiwani wa Halmashauri hiyo amewashauri kuwekeza katika miradi ambayo itatua changamoto za wananchi kama vile changamoto za ufugaji kwa kuanzisha ufugaji wa kisasa wa ngombe wa maziwa kutokana na kuwa wilaya hiyo inaongoza kwenye ufugaji.

Mwisho.

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • View All

Latest News

  • KATAVI KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRID YA TAIFA MEI 20,2025.

    May 15, 2025
  • KATAVI YAZIDI KUNG'ARA UUZAJI WA KABONI

    May 13, 2025
  • MABADILIKO YA MAJIMBO YA UCHAGUZI

    May 12, 2025
  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • View All

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
More Videos

Quick Links

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Related Links

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Location Map

Contact Us

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Postal Address: Box 235, Mpanda -Katavi

    Telephone: 025-2957108

    Mobile:

    Email: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Katavi RS . All rights reserved.