• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Waandishi wa Habari Mkoa wa Katavi wajengewa uelewa kuhusu TASAF awamu ya tatu

Posted on: February 19th, 2018

Zaidi ya wanahabari 20 kutoka katika Wilaya na Halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Katavi  wamepatiwa mafunzo ya Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini TASAF yaliyoratbiiwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi.

Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Kichangani Lodge ulioko Manispaa ya Mpanda yamewakutanisha Maafisa Habari Mawasiliano  na Uhusiano,Waratibu wa TASAF Halmashauri na Mkoa pamoja na Waandishi wa Habari kutoka katika Vyombo mbalimbali vya Habari mkoni Katavi

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano  cha TASAF Makao makuu Bi.Zuhura Mdungi amesema mafunzo hayo yanalenga kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari, na Maafisa Habari kuwa na uelewa wa namna ambavyo  Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini TASAF unatekeleza shughuli zake mbalimbali kupitia Programu mbalimbali zinazotekelezwa na Wadau Wakiwemo Halmashauri,pamoja na Mikoa

Amesema Wanahabari ni wadau muhimu katika kutangaza shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na TASAF hivyo wanapaswa kushirikishwa katika shughuli mbalimbali zinahohusu TASAF kwa lengo la kusaidia kuutangaza  mpango huo.

Aidha amesisitiza  kuwa wanahabari   wanayo nafasi kubwa katika jamii  kwa kuwa ni waelimishaji wa wakubwa katika mambo mbalimbali hivyo ni jukumu lao pia kuijengea jamii uelewa wa namna ambavyo TAFAF inatekeleza program mbalimbali kwa manufaa  ya Wananchi

Akizungumzia baadhi ya changamoto zilizokuwa zikijitokeza katika suala la kuandika na kutangaza mpango wa TASAF,Bi.Mdungi  amesema awali baadhi ya  waandishi hawakuwa na uelewa wa namna ambavyo TASAF  inatekeleza shughuli zake mbalimbali jamo ambalo lilipelekea jamii kutokuwa na uelewa kuhusu  TASAF.

Hata hivyo Bi.Mdungi amebainisha kuwa kwa sasa TASAF Inaendelea kuboresha mazingira kwa wanahabari sambamba na  kuwajengea uwezo Waandishi wa Habari ,Maafisa Habari pamoja na Wadau mbalimbali katika kuhakikisha kuwa kupitia Vyombo vya Habari  jamii inakuwa na uelewa wa kutosha kuhusu malengo mahsusi ya Mpango wa TASAF.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved