• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

UKATILI KWA WATOTO HAUKUBALIKI KWA MWENYEZI MUNGU

Posted on: March 5th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko ametoa wito kwa wananchi wote katika mkoa wake kujitokeza kukemea na kulaani vitendo vya ukatili vinavyofanywa na baadhi ya watu dhidi wanafunzi wa shule katika Wilaya ya Mpanda.

Amesema hayo kufuatia uchunguzi wa awali uilofanywa na vyombo vya usalama kuwa kuna ufanyikaji wa mapenzi kinyume na maumbile yaani ulawiti, usagaji na ubakaji katika baadhi ya shule za msingi na sekondari, vituo vya shule ya awali na vya kulelea watoto yatima katika wialya hiyo.

Amefafanua kuwa mapenzi hayo yanawahusisha wanafunzi kwa wanafunzi, baadhi ya walimu na wafanyakazi wanafanya na wanafunzi, baadhi ya watu wazima waliopo mtaani wanafanya mapenzi ya aina hiyo na wanafunzi.

Kwa masikitiko makubwa, Mhe. Mrindoko amesema katika uchunguzi huo ipo orodha ndefu inayoonyesha kuwa kuna ukiukwaji mkubwa wa maadili ndani ya taasisi zake ambazo jamii ina tegemea kuwafundishia watoto wake.

Amesema imebainika kuwa kuna mabweni bubu na shule za msingi binafsi na vituo vya kulelea watoto ambavyo havina vibali na ameagiza kufungwa shule hizo.

Mhe. Mrindoko ameitaka jamii, wazazi/walezi na wananchi wote mkoani kwake kupaza sauti ‘kukataa ulawiti, usagaji na ubakaji katika mkoa wake.

‘Tusipokemea haya watoto wetu wataendelea kuharibiwa na ukatili utaenea katika mkoa wetu’

Tushirikiane kukemea na kuwaelimisha watoto na vijana wetu kwamba mambo hayo siyo utamadauni wetu wala maelekezo ya mwenyezi mungu na hayapo sehemu yoyote duniani na hayana uhalali wowote ule.

Jambo lolote la namna hiyo likitokea sisi wananchi katika ngazi ya familia/ukoo, tusinyamaze, tusikae kimya, tulifikishe kwenye vyombo vya sheria na hatua zichukuliwe dhidi ya watu wote wanaojihusisha na uhalifu huo.

Viongozi wa dini tuwatangazie waumini kuhusu maovu hayo na madhara yake kwa jamii nao pia wayakemee kwa nguvu zote.

Ukaguzi wa shule ufanyike mara kwa mara na hatua zichuliwe dhidi ya shule zinazokiuka maadili na sheria za sekta ya elimu nchini. Tume ya utumishi wa walimu ifanye uchunguzi wa kina kuhusu walimu wanaojihusisha na utovu wa nidhamu mashuleni na kuwachulia hatua za kinidhamu

Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Katavi liimarishe madawati ya wanawake na watoto na kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wanaojihusisha na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto/wananfunzi

Mhe mrindoko ameyasema hayo katika wiki ya maandalizi kuadhimisha siku ya wanawake inayotarajiwa kuadhimishwa katika viwanja vya Mpanda ndogo Wilayani Tanganyika.

Miongoni mwa shughuli zinazoendelea kufanyika kabla ya kilele cha maadhimsho hayo, ni pamoja na kutoa elimu ya lishe, rushwa na kupinga ukatili, kupanda miti, kutembelea vituo vya yatima na kutoa misaada, kuendesha kongamano,maonyesho na mabonanza

Kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2023 ni ‘Mawazo ya ujasiri yenye kuleta teknolojia jumuishi,ubunifu, elimu inayoweza kupambana na ubaguzi na kutengwa kwa wanawake dunaiani kote.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved