• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

SERIKALI MKOA WA KATAVI KUPANDISHA MADARAJA WATUMISHI 823

Posted on: May 1st, 2023

                                                                  SERIKALI MKOA WA KATAVI KUPANDISHA MADARAJA WATUMISHI 823

Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi Bw. Hassan Rugwa amesema ofisi yake inatarajia kupandisha madaraja watumishi 823 katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Bw. Rugwa amesema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kashaulili Mjini Mpanda

Amesema amepokea maelekezo ya kupandisha watumishi madaraja kutoka serikali kuu na kuongeza kuwa tayari kibali cha kupandisha watumishi hao wameshapata na mchakato wa utekelezaji huo umeshapelekwa kwenye mamlaka zinazohusika kwa ajili ya utekelezaji zoezi hilo.

Bw. Rugwa amewapongeza watumishi wote wa mkoa wake kwa ufanisi waliopata katika utekelezaji wa majukumu yao kwa wananchi licha ya kukabiliwa na changamoto mbali mbali katika utumishi wao.

Amebainisha baadhi ya changamoto hizo kuwa ni pamoja na uhaba wa watumishi unaoukabili Mkoa wa Katavi. Hata hivyo, kwa kutambua changamoto hizo serikali kuu imeendelea kukabiliana na upungufu huo.

Bw. Rugwa amesema kuwa tayari serikali imeshaajiri watumishi 316 ambao mkoa umeshwapokea na kuwapeleka katika idara na halmashauri za mkoa wake.

Amewapongeza wafanyakazi wa Mkoa wa Katavi kwa kazi nzuri walizozifanya, kwa umoja na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu yao na kuwasihi kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na uzalendo katika utekelezaji wa kazi zao      

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JAJI MKUU WA TANZANIA ASISITIZA UADILIFU NA USHIRIKIANO WA WADAU KATIKA UTOAJI HAKI.

    May 28, 2025
  • RC MRINDOKO AKEMEA WAKURUGENZI KUZALISHA MADENI MAPYA KWA WAZABUNI.

    May 22, 2025
  • KATAVI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI.

    May 21, 2025
  • BASATA YAWAPIGA MSASA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KATAVI MFUMO WA AMIS NA TAUSI

    May 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved