• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC MRINDOKO AONGOZA UJUMBE WA VIONGOZI ZIARA YA MAFUNZO NJOMBE

Posted on: January 30th, 2025

Njombe, Januari 30, 2025 

 Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua H. Mrindoko, akiwa ameongozana na Wakuu wa Wilaya na wataalamu, ametekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kufanya ziara ya mafunzo mkoani Njombe. Ziara hii imelenga kujifunza mbinu bora za kupunguza udumavu, tatizo linaloendelea kuathiri Mkoa wa Katavi kwa kiwango kikubwa, ikiwa juu ya wastani wa kitaifa wa asilimia 32.2%.


Katika ziara yake ya Julai 2024, Rais Samia alieleza kuwa Mkoa wa Njombe umefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kupunguza udumavu na aliagiza viongozi wa Mkoa wa Katavi kujifunza kutoka kwa wenzao wa Njombe. Kwa mujibu wa Mhe. Mrindoko, ziara hii ni mwanzo wa ushirikiano wa karibu kati ya mikoa hii miwili, siyo tu katika sekta ya lishe, bali pia katika nyanja nyingine za kiuchumi, kijamii, na kiutalii. Amesisitiza kuwa ni fursa muhimu kwa wataalamu kutoka Katavi kubadilishana uzoefu na kujenga ushirikiano wa kudumu kwa ajili ya maendeleo ya mikoa hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, amekubali na kuunga mkono wazo la ushirikiano huu, akieleza kuwa mashirikiano haya yanaweza kupanuka zaidi kwenye sekta ya elimu, akitoa wazo la kuanzisha mitihani ya pamoja kwa wanafunzi wa darasa la saba, kidato cha pili na cha nne. Alisema kuwa hatua hiyo itachangia kuinua viwango vya taaluma na kukuza mshikamano kati ya mikoa hii miwili.

Ziara hii inatarajiwa kubadilisha mtindo wa utekelezaji wa afua za lishe katika Mkoa wa Katavi, kwa kutumia mbinu zilizofanikiwa katika Mkoa wa Njombe. Hivyo, ushirikiano huu utaleta manufaa makubwa kwa wananchi wa Katavi, ikiwa ni pamoja na kupunguza kiwango cha udumavu, kuimarisha afya na ustawi wa jamii, na kuchochea maendeleo katika sekta mbalimbali.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved