Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC MRINDOKO AKABIDHI ZAWADI GEREZA LA MAHABUSU MPANDA

Posted on: January 1st, 2025




Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko, leo Januari 1, 2025, amekabidhi msaada katika Gereza la Mahabusu Mpanda kama sehemu ya kutoa salamu za mwaka mpya kwa wahitaji kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Amesema kuwa jamii inapaswa kutambua kwamba wafungwa ni raia na kifungo ni sehemu ya mafunzo, si laana kama inavyotafsiriwa. Amelishukuru na kulipongeza pia Jeshi la Magereza kwa kazi kubwa wanayoifanya, ikiwemo utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoleta mafunzo kwa wafungwa ili watakapomaliza kifungo waweze kuwa raia wema wenye ujuzi na uwezo wa kufanya kazi.

Pia, Rc Mrindoko ametumka nafasi hiyo kuwaombea heri ya mwaka mpya wafungwa, akisema kwamba uwe mwaka mzuri na Mwenyezi Mungu awaonyeshe haki yao wanayostahili.

Naye Mkuu wa Gereza la Mahabusu Mpanda, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza Frank Mwakatobe, amemshukuru Mkuu wa mkoa kwa kufanya ziara ya kutembelea gereza hilo.
"Kuna makundi mengi yenye uhitaji wa msaada kama tulivyoupata leo, lakini Mkuu wa Mkoa ameona ni vyema kuhusika katika urekebishaji. Tunamshukuru sana na wafungwa wa mahabusu wamefurahi na wanamshukuru kwa zawadi hizi." Amesema Mwakatobe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MABADILIKO YA MAJIMBO YA UCHAGUZI

    May 12, 2025
  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved