• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC KATAVI TAGETI 85% UTOAJI MAJI VIJIJINI 2025 TUTAIFIKIA BILA CHENGA

Posted on: April 11th, 2023

Kiongozi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko amekabidhi mitambo ya magari 2 ya kuchimba visima vya maji kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) kwa ajili ya mkoa wake.

Mhe. Mrindoko amesema mitambo ya magari hayo imetokana na programu ya UVIKO 19 iliyotenga fedha pamoja na mambo mengine kwa ajili ya ununuzi wa mitambo ya uchimbaji wa visima vya maji.

Amesema ujio wa mitambo hiyo utarahisisha na kuongeza juhudi za utoaji wa huduma ya maji vijijini kwa sababu mkoa utakapokuwa na uhitaji wa uchimbaji wa visima vya maji hakutakuwa na shida ya upatikanaji wa vifaa, vifaa vitakuwepo.

Mhe. Mrindoko amesema seti ya mitambo hiyo, iliyo na uwezo kuchimba visima hadi mita 400 kwenda chini ya ardhi, imeshachimba tayari visima 12 katika Mkoa wake ajili ya wananchi wa mkoa huo.

Mbele ya mwakilishi wa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Katavi, aliyehudhuria katika hafla ya makabidhiano ya magari hayo, Mhe. Mrindoko amemuhakikishia kiongozi huyo kuwa, ufikiaji wa lengo la utoaji wa maji wa 85% ifikapo 2025 kwa wananchi wa vijijini, utafikiwa bila chenga kwa sababu mkoa umejipanga vizuri.

Upatikanaji wa maji kwa sasa katika Mkoa wa Katavi ni 70.9 na juhudi zinaendelea kuhakikisha kuwa huduma hii inamfikia mwananchi hapo alipo.

Kisha kukabidhi mitambo hiyo, Mhe Mrindoko ameielekeza RUWASA kuitumia mitambo hiyo kwa ajili ya kuchimba visima, kukarabati na kufufua visima kwa ajili ya wananchi wake na si kwa malengo mengine.

Amewataka pia wananchi kutunza vyanzo maji na miradi ya maji iliopo ili iweze kuendelea kutoa huduma iliyokusudiwa  

Maji ni kitu cha msingi sana katika maisha ya viumbe na maendeleo duniani, hatuna budi kuvitunza vyanzo vya maji na mzingira yetu ili rasilimali hii iweze kutusaidia sisi wanadamu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved