• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC KATAVI AZINDUA JENGO LA MIONZI NA WODI YA WATOTO WANAWAKE NA WANAUME

Posted on: April 27th, 2023

ADUI MARADHI ABANWA MBAVU MKOANI KATAVI

Afya bora ni nguzo na rasilimali muhimu katika kuchangia maendeleo ya mtu binafsi, familia na nchi hususani katika kuleta maisha bora na kupunguza umaskini. Maenendeleo ya nchi yetu yataletwa na wananchi wenye afya na uwezo wa kuzalisha mali

Afya bora ni haki ya msingi ya binadamu na kiungo muhimu cha kufanikisha ajenda ya maendeleo enedelevu ifikapo 2030

Serikali yoyote duniani ina jukumu la kuandaa watalaam wa mambo ya afya, kujenga hospitali na miundombinu mingine ya afya kwa ajili ya wananchi wake. Aidha ina jukumu la kutoa dawa na vifaa tiba

Zaidi ya miongo 5 tukiwa ndani ya muungano wa Tanzania, sisi kama nchi tumeendeleza mapambano dhidi ya adui maradhi kwa kujenga miundombinu ya afya, kutoa madawa na vifaa tiba kwa ajili ya ustawi wa afya ya mwananchi wetu

Leo Kiongozi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko amezindua Jengo la Mionzi na Wodi ya Watoto na wanawake katika kituo cha Afya Ilembo ili kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya maradhi katika mkoa wake.

Ujenzi wa Jengo la Wodi ya watoto, wanawake na wanaume, Jengo la Mionzi na X-Ray vimegharimu mil. 457.

Hadi sasa serikali mkoani Katavi ina Hospitali 1 ya Rufaa, Hospitali 5 za Halmashauri, vituo vya vya afya 23 na zahanati 94. Hivyo jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya ni 123. Hospitali, vituo vya afya pamoja na zahanati vyote vinatoa huduma kwa wananchi.

Kwa upande wa madawa na vifaa tiba vinapatikana huku serikali ikiongeza juhudi za kuongeza watumishi wa afya kila mwaka ili kuboresha zaidi huduma ya afya katika mkoa 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved