• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RC KATAVI AWATAKA WANAWAKE KUSAMBAZA MAADILI MEMA KATIKA JAMII

Posted on: March 8th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko amewataka wanawake na jamii kutumia maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kusambaza maadili na tabia njema katika mkoa wake na taifa kwa ujumla.

Mhe. Mrindoko amesema hayo leo katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Shule ya Mpanda Ndogo katika Wilaya ya Tanganyika.

Amesema tumeshuhudia mmomonyoko wa maadili katika jamii yetu; kuna ajira za watoto wadogo, mimba za utotoni na vitendo mbali mbali vya ukatili kama vile ubakaji, ulawiti katika jamii yetu.

Kufuatia changamoto hizo, kiongozi huyo amewataka wazazi na walezi kujitathmini kuona mahali ambapo wamekosea na kuchukua hatua za makusudi kujirudi na kupaza sauti zao kwa pamoja kukemea na kupiga vita vitendo vyote vya ukatili katika jamii yetu.

Mhe. Mrindoko ameelezea kuwa wanawake wana mchango mkubwa sana katika jamii; wanapaswa pamoja na mambo mengine kulea watoto katika maadili mema, kusambaza upendo, utulivu na amani katika familia na jamii ili kujenga taifa adilifu na raia wema.

Amewataka wanawake kuitumia vizuri nafasi kubwa waliyonayo katika jamii kujenga na kuimarisha utu wema katika familia zao na baadae kuyapeleka malezo hayo kwa jamii.

Wakati huo huo, Mhe Mrindoko amewataka wanwake, walemavu na vijana kuchangamkia na kutumia fursa mbali mbali zinazopatika katika Mkoa wa Katavi kwa ajili kujiendeleza kiuchumi na kijamii.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA KATAVI APIGA STOP UNYANYASAJI SEHEMU ZA KAZI

    May 01, 2023
  • SERIKALI MKOA WA KATAVI KUPANDISHA MADARAJA WATUMISHI 823

    May 01, 2023
  • RC KATAVI AZINDUA JENGO LA MIONZI NA WODI YA WATOTO WANAWAKE NA WANAUME

    April 27, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KATAVI AWAONYA MAFUNDI WA KULALAMIKA DHIDI YA SERIKALI

    April 26, 2023
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved