• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

RAS Katavi awahimiza Wakulima kujisajili kupata mbolea ya Ruzuku.

Posted on: August 29th, 2022

Pichani:Katbu Tawala Mkoa wa Katavi Bw.Hassan Abas Rugwa akizungumza na Wananchi wa Kata ya Mwamapuli katika ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko 27 Agosti 2022.


Mpimbwe –Katavi

Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Wilayani Mlele wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujisajili ili waweze kunufaika na mbolea ya Ruzuku.

Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi Bw.Hassan Abas Rugwa 27 Agosti 2022 katika ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko kukagua miradi ya maendeleo katika eneo la Mwamapuli.

Bw.Rugwa amewaambia Wananchi wa Kata ya Mwamapuli kuwa wakati zoezi la Sensa ya watu na makazi likiendelea Nchini liko pia zoezi la usajili wa Wakulima kwa ajili ya kupata mbolea ya Ruzuku ambapo amewataka kutoa ushirikiano kwa kujisajili kwa kuwa mbolea hiyo itatolewa kwa Wakulima  waliojisajili peke yake.

Ameeleza kuwa lengo la Serikali kulipia karibia nusu ya bei ya pembejeo hizo za kilimo ni kujenga mazingira wezeshi kwa wakulima ili kuleta tija katika uzalishaji na hivyo kuwakwamua Wananchi hususani wakulima  na Umasikini.

“Mhe.Rais amelipia karibia nusu ya bei ya mbolea na hiyo pesa ambayo Mhe.Rais ameilipia hautadaiwa wala kukatwa kinachotakiwa ni wewe kujisajili ili kuweza kunufaika na pembejeo hizo”alisema katibu tawala Rugwa.

 Mnamo Tarehe 17 Mei 2022 Waziri wa Kilimo Bw.Hussein Bashe katika hotuba yake Bungeni katika kikao cha 13 Mjini Dodoma  alieleza kuwa Shilingi Bilioni 150 zimetengwa  na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo  kwa ajili ya kutoa Ruzuku ya mbolea kwa wakulima wa mazao yote Nchini kwa masimu wa Kilimo 2022/2023.

Tayari katika baadhi ya maeneo Nchini Wakulima wamejisajili na wameanza kupata  Mbolea ya Ruzuku.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved