• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

NDANI YA MIAKA MINNE KATAVI YAPOKEA TRILIONI 1.345

Posted on: July 5th, 2025

Katika hotuba ya mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko, aliyoitoa leo Julai 5, 2025 wakati wa tamasha la Samia, kumpongeza Mhe. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuleta fedha za Maendeleo na kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma za kijamii

Fedha hizo ni kwa ajili ya kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo, Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020, Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano na Mikakati mbalimbali ya Serikali.


Kufuatia utekelezaji huu wa miradi ya maendeleo timu ya vijana wa Dejong kutoka Kizimkazi Zanzibari wamefika ili kujionea namna ambavyo miradi hii imekuwa na msaada kwa jamii na kuchochea maendeleo ya kiuchumi.

Mratibu wa timu hiyo Hassan Hamdu akizungumza na wananchi katika tamasha hilo amesema ujio wao umelenga kuwaonyesha wananchi wa mkoa wa Katavi umuhimu wa uwepo wa miradi ya kimkakati katika jamii hususani katika nyaja za afya, Elimu, Uchumi, usafirishaji pamoja na miradi mingine.

Aidha amesema katika upande wa elimu ni Fursa kwa wananchi kuweza kutumia miundombinu iliyopo kwa watoto kupata nafasi ya kusoma na kufikia malengo ya serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata elimu bora.


Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. mwanamvua Mrindoko akizungumza katika tamasha hilo amesema hadi kufikia Juni, 2025 Mkoa una jumla ya Shule za Msingi 293, ambapo kati ya hizo za Serikali ni 278 na zisizo za Serikali ni 15,Shule za Sekondari zipatazo 79 zikiwemo 74 za Serikali na 5 ni Shule za binafsi, Sekta ya Elimu imepokea kiasi cha Sh Bilioni 58.093 zilizotumika katika kuboresha miundombinu ya Shule mbalimbali na kuweka mazingira mazuri ya kufundishia na kujifunza.

Pia Katika hotuba yake, Mhe. Mrindoko Amesema Kuna Ujenzi wa Shule mpya 137 zikiwemo Shule 97 za Msingi na Shule 40 za Sekondari, na madarasa 2,219 madarasa. Hali ambayo imepunguza umbali wa kutembea kwenda Shule na msongamano wa Wanafunzi madarasani na kuwezesha mazingira bora zaidi kwa walimu na wanafunzi.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SEPTEMBA 2025, MWISHO WA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI KWENYE TAASISI ZINAZO HUDUMIA WATU ZAIDI YA 100. HUDUMIA

    July 23, 2025
  • KATAVI YAANZA KUYABAINISHA MAENEO HATARISHI YANAYOCHOCHEA MAGONJWA YA MLIPUKO.

    July 22, 2025
  • HUDUMA YA KUCHUJA DAMU (DIALYSIS): TUMAINI JIPYA KWA WAGONJWA WA FIGO KATAVI.

    July 21, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUTUMIA MADHABAHU KUKEMEA NA KUELIMISHA UMMA JUU YA MADHARA YA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI.

    July 18, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved