• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Msimu wa Kilimo Katavi wazinduliwa rasmi,RC Katavi awataka Wananchi kutunza chakula kukabiliana na ukame.

Posted on: November 2nd, 2022

Pichani:Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko akikabidhi Trekta kwa Mkulima kutoka Wilaya ya Mlele lililotolewa kama Mkopo kwa Mkulima huyo  kutoka Benki ya NMB wakati wa uzinduzi wa Msimu wa Kilimo katika kilele cha Wiki ya Mwanakatavi 2 Novemba 2022.


Mpanda.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Bi.Mwanamvua Hoza Mrindoko ametoa rai kwa Wananchi Mkoani humo kutunza chakula cha kutosha kutokana na tishio la uwepo wa mvua chini ya Wastani katika msimu wa wa Kilimo 2022/2023.

Mhe.Mrindoko ametoa rai hiyo katika tukio la uzinduzi wa Msimu wa Kilimo ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Mwanakatavi ya Kilimo na Utalii iliyohitimishwa rasmi 2 Novemba 2022 katika uwanja wa Shule ya Msingi Kashato Manispaa ya Mpanda.

“Katika maeneo mengine ikiwemo Nchi jirani hali si shwari kun njaa ya hali ya juu,Niwaombe sana Wananchi wa Mkoa wa Katavi kila kaya ihakikishe inatunza chakula cha kutosha ikiwa ni tahadhari ya hali ya ukame”alisema Bi Mrindoko.

Mkuu wa Mkoa Mrindoko ameeleza kuwa Mkoa wa Katavi  katika msimu mpya wa Kilimo 2022/2023 umedhamiria kulima Ekari 339,187 zikiwemo hekta 273,436 za mazao ya chakula na Hekta 65752 za Mazao ya Biashara.

Ameeleza kuwa lengo la Mkoa kwa Msimu wa Kilimo 2022/2023 ni kuzalisha tani 1,159,754 ikiwemo tani 1,074,187 za mazao ya chakula na tani 85,568 za mazao ya Biashara ambapo mahitaji ya mbolea ni tani 14,811.

Katika hatua nyingine Bi Mrindoko amewataka Wananchi Mkoani Katavi kujitokeza kwa wingi kujisajili katika Daftari la Wakulima ili waweze kunufaika na Mbolea ya Ruzuku ili kuleta tija katika uzalishaji.

 

 

 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATAVI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI.

    May 21, 2025
  • BASATA YAWAPIGA MSASA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KATAVI MFUMO WA AMIS NA TAUSI

    May 20, 2025
  • KATAVI KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRID YA TAIFA MEI 20,2025.

    May 15, 2025
  • KATAVI YAZIDI KUNG'ARA UUZAJI WA KABONI

    May 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved