• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Mpanda MC yakabidhi vyumba 51 vya Madarasa kwa RC Katavi,Viongozi watakiwa kusimamia watoto kuripoti Shuleni kwa wakati.

Posted on: December 29th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko alipozindua madarasa 51  katika Shule ya Sekondari Lyamba yaliyojengwa kwa Fedha almaarufu Pochi la mama katika Manispaa ya Mpanda 29 Desemba 2022


Na:OMM Katavi

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko amepokea vyumba 51 vya madarasa yaliyokamilika katika Manispaa ya Mpanda   ikiwa ni maandalizi ya kupokea Wanafunzi wa Kidato cha kwanza kwa ajili ya muhula mpya wa masomo 2023.

Akizungumza wakati wa Hafla ya kukabidhi vyumba hivyo 51 vya madarasa almaarufu Madarasa ya Mama Samia , katika Shule ya Sekondari Lyamba Manispaa ya Mpanda Mkuu wa Mkoa Mhe.Mrindoko ameipongeza Manispaa ya Mpanda kwa kuhakikisha kukamilisha Ujenzi huo kwa wakati.

Aidha Mhe.Mrindoko pamoja na Pongezi alizotoa kwa Mhe.Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.DKT.Samia Suluhu Hassan  ametoa rai kwa Viongozi wa ngazi zote ndani ya Manispaa ya Mpanda na Mkoa wa Katavi kwa ujumla kusimamia kikamilifu kuhakikisha kuwa watoto wote 14,904 waliochaguliwa  kuripoti Shuleni kwa ajili ya kuanza masomo ya kidato cha kwanza wanaanza Masomo mapema ifikapo 9 Januari 2023 kwa kuwa hakuna kiingizio cha watoto hao kubaki Mtaani kutokana na Serikali kumaliza kabisa changamoto za uhaba wa vyumba vya Madarasa pamoja na Madawati Mkoani Katavi.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa Mrindoko  amewataka Viongozi wa Kijamii mkoani Katavi kuhakikisha kuwa wanatoa hamasa ya kufanya maandalizi ya watoto waliochaguliwa  kujiunga na kidato cha kwanza kwa wakati badalam ya kusubiria mpaka shule zikifunguliwa ambapo amesisitiza kuwa hatosita kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yoyote atakayechelewesha mtoto kuripoti kidato cha kwanza.

 Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Sophia Kumbuli akiwasilisha Taarifa yake katika Hafla ya kukabidhi vyumba hivyo vya madarasa katika Shule ya Sekondari Lyamba ameeleza kuwa Ujenzi wa vyumba 51 vya madarasa ndani ya Manispaa ya Mpanda ulianza utekelezaji wake mnamo Mwezi Oktoba 2022 ambapo Manispaa ya Mpanda ilipokea Fedha  kiasi cha shilingi Bilioni 1 nje ya ukomo wa bajeti kwa ajili ya maandalizi ya mapokezi ya Wanafunzi wa Kidato cha kwanza.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved