• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

MKUU WA MKOA WA KATAVI KUSHIRIKIANA NA AMCOS KUANZISHA VIWANDA VYA MAZAO YA MIFUGO

Posted on: April 12th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko amekihamasisha kikundi cha Kashaulili AMCOS kuanzisha viwanda vya kuchakata mazao ya mifugo ili kuinua uchumi wa mkoa huo.

Mhe. Mrindoko amesema hayo baada ya kukikabidhi kikundi hicho vifaa 13 vya kukamulia maziwa ya ng’ombe, mashine1 ya kuchakata chakula cha mifugo na cheti cha kusajiliwa kwake ofisini kwake Mjini Mpanda, 12/4/2023

Amesema mkoa huo unahitaji viwanda vya aina mbali mbali ikwemo viwanda vya maziwa, ngozi na nyama kwa kuwa malighafi ya viwanda hivyo ipo.

Mhe. Mrindoko ameupambanua mkoa wake kuwa ni miongoni mwa mikoa iliyo na mifugo mingi. Kulingana na sensa ya mifugo ya 2022 mkoa huo una mifugo zaidi ya Laki 8.

Amekihakikishia kikundi hicho na wananchi wote wa mkoa huo kuwa serikali yake itatoa ushirikiano mkubwa ikiwa ni pamoja na watalaam wa kusaidia kuelekeza taratibu na fedha kwa ajili ya uanzishaji wa viwanda hivyo.

Amewahimiza wananchi kujiunga na ushirika ili kuwa na sauti ya pamoja katika soko la bidhaa za mifugo na nguvu ya pamoja ya kiuchumi.

Mhe. Mrindoko amewatahadharisha Kashaulili AMCOS kutotumia vifaa walivyopewa na serikali kwa shughuli nyingine mbali na malengo ya matumizi ya vifaa hivyo.

Kashaulili AMCOS inatarajiwa kuwa mfano wa kuigwa na hamasa kwa wananchi na vikundi vingine kuchangamkia fursa mbali mbali za kiuchumi katika Mkoa wa Katavi na taifa.

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mhe. Onesmo Buswelu amesema utoaji wa vifaa vya mifugo katika Mkoa wa Katavi ni juhudi za serikali za kuinua sekta ya mifugo nchini.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved