• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

MKUU WA MKOA WA KATAVI AWAONYA MAFUNDI WA KULALAMIKA DHIDI YA SERIKALI

Posted on: April 26th, 2023

RC KATAVI AWAONYA MAFUNDI WA KULALAMIKA DHIDI YA SERIKALI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko amewapiga stop baadhi ya wananchi wanaopenda kuilalamikia serikali badala yake watumie rasilimali zilizopo na amani iliyopo kujiletea maendeleo.

Mhe.Mrindoko amesema hayo leo katika kumbukizi la miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika kwenye viwanja vya Usevya, katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele.

Amesema Tanzania imejaliwa kuwa na amani na rasilimali nyingi na kuwataka watanzania kutumia rasiliamali zilizopo na fursa ya amani iliyopo ili kubadilisha hali ya maisha yao

Amezitaja kwa uchache rasilimali zilizopo nchini Tanzania kuwa ni pamoja na ardhi kubwa yenye rutuba, mito, maziwa, bahari, misitu na mbuga za wanyama.

Mhe. Mrindoko amesema Tanzania inahitaji viwanda vingi lakini viwanda mbali mbali haviwezi kupatikana kwa kuilalamikia serikali bali vitapatikana kwa kila mtanzania kufanya kazi kwa bidii na maarifa.

Amesema Muungano wa Tanzania umeleta faida nyingi sana kwa watanzania. Miongoni mwa faida hizo ni pamoja na usalama na utulivu, uhuru wa kuishi mahali popote Tanzania, soko la pamoja baina ya Tanganyika na Zanzibari, umeaimarisha na kuleta maendeleo makubwa katika sekta za afya, elimu, barabara na maeneo mbali mbali ya kiuchumi na kijamii.

Amewatahadhalisha watanzania kutokubali kuruhusu mtu yeyote kuvuruga muungano wa Tanzania, bali watanzania wasimame imara katika umoja na mshikamano, kuutetea na kuulinda Muungano kwa nguvu zote.

Muungano wa Tanzania ni Muungano pekee katika nchi za Afrika uliodumu karibu miongo 6 tangu kuasisiwa kwake 26/4/1964

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved