• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

MKUU WA MKOA WA KATAVI AONYA WABADHIRIFU HAKUNA KUDOKOA HATA SENTI YA FEDHA ZA BOOST

Posted on: April 12th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko amepokea 9.807, 200,000/= kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa miundombinu ya elimu msingi (ali maarufu BOOST) katika mkoa wake

Mhe. Mrindoko amesema ujenzi wa miundombinu hiyo utatatua changamoto ya upungufu wa miundombinu katika sekta ya elimu mkoani kwake.

Amebainisha kuwa bil. 5.4 zitajenga shule mpya 10, bil. 3.51 zitajenga madarasa mpya 135, mil. 359 zitajenga vyumba vya madarasa ya mfano ya elimu ya awali 10, mil. 206.8 zitajenga matundu ya vyoo 94 na mil. 100 zitakarabati shule za msingi kongwe 2 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika.

Ameongeza kuwa kiasi kingine cha fedha hizo kitajenga nyumba 2 za walimu katika Wilaya ya Mlele na Tanganyika, zitatumika kununua madawati, meza na viti kwa ajili ya wanafunzi na walimu na kujenga vichomea taka katika shule na ofisi za walimu.

Mhe. Mrindoko ameelekeza kuwa ujenzi wa miundombinu hiyo unatakiwa kuzingatia  thamani ya fedha katika kila mradi; mfano kama ni ujenzi wa vyumba vya madarasa au utengenezaji wa samani (madawati na meza) lazima thamani yake ionekane.

Amesema mkoa wake utafuatilia ujenzi huo ili kuhakikisha fedha zimetumika kwa ufanisi, utaratibu na malengo yaliyokusudiwa bila chenga, bila kubadilisha matumizi wala kufanya ubadhirifu wa fedha hizo.

Mhe. Mrindoko amewahimiza wasaidizi wake kufanya maandalizi na kuhakikisha kuwa ujenzi wa miundombinu ya elimu msingi katika mkoa wake unakamilika kabla Juni 30,2023. Ujenzi huo unatakiwa kuanza mara moja kuanzia sasa.     

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved