• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Amosi Makala

Posted on: August 14th, 2018

Mkuu wa  Mkoa  mpya wa  Katavi  Amos  Makalaamewapa   siku  14 wakuu wote wa  Wilayaza  Mkoa  huo waandike  taarifa  zote za  migogoro  ya  ardhi  iliyopo   kwenye  Wilaya  zao  na  hatua  ambazowameisha  zichukua za   kutatua  migogorohiyo ya  ardhi .

Agizo  hilo   amelitoa   leo wakati  alipokuwa  akiwatubia  viongozi  mbalimbali  na  watumishiwa   Mkoa wa   Katavi  na   wa   Wilaya  za   Mkoa  huo  katika  ukumbiwa  Manispaa ya   Mpanda  mara baada yakukabidhiwa  ofisi na  aliyekuwa   Mkuuwa  Mkoahuo   Meja  Generali  mstaafu   Raphael  Muhuga  ambayeamestaafu .

 Makala  amewaagiza  wakuu  wa   Wilaya  zote    tatu  za    Mkoa  huo    pamoja  na   wakurugenziwa  Halmashauri  wahakikishe   ndaniya  siku    14  kuanzia  tarehe14/8/2018  waandike  taarifa  zote   za  migogoroya   ardhi  iliyopo  kwenye  maeneoyao na  hatua   ambazo  wameisha  chukua  katika  kutatua  migogoro  hiyona  taarifa hiyo iwe  imefikishwa  ofisini kwakendani ya   siku 14 kuanzia.

 Amesema  taarifa  hiyo  itakapo  kuwa  inaandaliwa  wahakikishewanawashirikisha wajumbe  wote wa  kamatiza  ulinzi na  usalama  walioko   kwenye  Wilaya  zao.

 Ameeleza kuwa yeye ni  muuminiwa   kazi za   wananchi  hivyo   anapenda  kuona   kero  zote  za  wananchi  zinatatuliwa  kwenye   Mkoa  huu  ambao   ameanza  kuuongoza  kuanzia   leo  baadaya kuhamishiwa  hapo   akitokea  Mkoa  wa  Mbeya.

 Amefafanua  kuwa   dirayake  kubwa   katika  uongozi wakeni  kutatua  migogoro ya  ardhi /kusimamia   Amani na  usalama  kwani  hayuko  tayarikuacha Mkoa  usiwe   salama /kubororesha huduma  za  jamii  nautii wa  sheria na  kuwaletea  wananchi  maendeleo

 Amewasisitiza  wakuu wa  Wilaya kutenga   siku  mbili  kila  mwezikwa   ajiri ya  kusikiliza  keroza   wananchi  kwani  hata  yeye  Mkuuwa   Mkoa  atakuwa  na  sikumoja  kila  mwezi kwa  ajiriya  kusikiliza  kero za  wananchi .

 Mkuu huyo wa Mkoa amewataka  wananchi  ambaowalikuwa   ni  raia  wa  Nchiya  Burundi  na wamepewa uraia wa Tanzania wanaoishi  kwenye   makaziya  Wakimbiziya  Katumba  na  Mishamo   waache  tabiaya kujihusisha  na  maswala ya  uhalifukwani   usalama wa   Nchi yetu  sio wakuchezea chezea.

Mkuu  wa   Mkoa    mstaafu    Meja   Jenerali   Raphael   Muhuga   alielezakuwa    amemkabidhi    Mkuu   huyo     mpyawa   Mkoa   Mkoa  huo  ukiwa  ni  salama.

Amesema  katika  kipindi  chake   cha  uongozi  katika     Mkoahuo    aliyeuongoza  kwa  kipindicha  miaka   miwilina  miezi   minne   Mkoahuo   umewezakupata  mafanikoa  mbalimbali  baadhiya  mafanikio  hayo  ameyataja  kuwa  ni

Kurudisha  mazingira ya  Mto   Katuma  yaliokuwa  yameharibiwana  watu waliokuwa wakifanya   shughuliza  kibinadamu  na kufugia  mifugohari   ambayoilikuwa  ikisababisha  viboko  kufa   kwenye    hifadhiya Taifa ya  Katavi kutokana na kukosa  maji  harihiyo kwa  sasa  haipo tena  kwani  majiya  mto huo  hayakauki  tenawala  viboko  hawafi.

Mafanikio  mengine ni  kuongezekakwa  kina cha majikatika   Ziwa   Rukwa   ambalo   kina  chakekilikuwa   kimepungua   kutoka  urefu wamita   12  hadi kufikia  urefu wa  kinacha  urefu wa mita  saba, kina hicho kimeanza kuongezeka  kutokana  na   Mto  Katuma  kuingiza  majikwenye   ziwa hilo kwa  kipindicha  mwaka  mzima .

Pia   wameweza kuimarisha ulinzina   usalama kwenye  maeneo yote ya  Mkoawa  Katavi  ambapo    hapo   awali  kablaya  yeye  hajakuwa   Mkuuwa   Mkoa huo   mabasi yoteyalikuwa  hayawezi kusafiri bila  kuwana    eskoti ya polisiwenye  silaha  za  moto  hali  hiyokwa  sasa  haipo   mabasiyote  yanayotoka na  kuingiakatika   mkoa  wa Kataviyanasafiri  bila  eskoti ya  polisi.

Mkoa  pia  umeweza  kuanzishamazao   mbadala ya  Tumbaku  baada yakuona   makampuni ya   ununuziwa  tumbaku yamekuwayakishusha   mwaka  hadimwaka  kilo  za kununua  tumbaku  hivyowameanzisha mazao ya  Pamba na Korosho na mwitikiowa  wananchi  kwenye  mazao  hayoumekuwa ni  mkubwa

Mkoa   umeweza  kuanza   ujenziwa   Hospitaliya   Mkoa   ambapo   mpaka  sasa   Mkoa  mzima  unayohospitali   moja  tuu ya   Manispaaya   Mpanda  na  ujenzi huowa   hospitaliya   Mkoa   unafanywa    chiniya   ukandasasiwa  SUMA  JKT   na  tayari  wameanza  ujenziwa  jengo la   gorofa  moja  wodiya akina   mama  wajawazito.

Muhuga   alisema   Mkoa  huowa  Kataviunazo  changamoto  mbalimbali  ambazo   alizitajabaadhi kuwa  ni  mimba  za  utotoni  ambapo   Mkoa  huo unawastaniwa   asilimia   45za  mimba  zautotoni   na   kuufanya   Mkoahuo  kuongoza  Kitaifa  kwa   tatizola  kuwa  na  idadi  kubwaya  mimba  za utotoni .

Changamoto   nyingine   aliitajakuwa ni  Mkoa huo kuwa  na   idadi kubwa yawanawake  wasio jua  kusoma  na  kuandika  ambapo  Mkoaunawasitani wa  asilimia  33 ya wanawake  wasiojua  kusomana  kuandika  hata  hivyo  wameisha  anzakuchukua hatua za kuanzisha  madarasa ya  yakusoma  watu wazima  wasio jua  kusomana  kuandika .

Aliwaomba  watumishi na  wananchiwa  Mkoa  huo  kumpa  ushirikiano Mkuuwa  Mkoa   mpya  kama   ambavyowalivyompa  yeyeili  kufanya   Mkoa  huo  uweze   kupigahatua  za   maendeleo  Zaidi .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved