• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Makamu wa Rais akabidhi hundi ya Bil.2.3 kwa Vijiji 8 vinavyonufaika na Hewa Ukaa Tanganyika

Posted on: July 23rd, 2022

Pichani:Makamu wa Rais Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango akikabidhi Hundi ya Shilingi Bilioni 2.3 kwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Mrindoko ambaye aliipokea kwa Mhe.Makamu wa Rais kwa niaba ya Wananchi katika tukio la kukabidhi hundi hiyo katika Kijiji cha Katuma Wilayani Tanganyika.

Tanganyika-Katuma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa agizo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kuhakikisha kuwa Elimu ya kutosha inatolewa kwa Wananchi ili waweze kutambua fursa zilizopo katika Biashara ya Hewa ukaa.

Mhe.Makamu wa Rais ametoa rai hiyo alipokabidhi hundi yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 2.3 kwa vijiji nane katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika vinavyonufaika na Mradi wa Biashara ya Hewa Ukaa.

Akizungumza na Wakazi wa Kata ya Katuma mara baada ya kukabidhi hundi hiyo Makamu wa Rais Dkt.Mpamgo amewataka Wananchi wa Tanganyika na Mkoa wa Katavi kwa ujumla kuendelea kuhifadhi mazingira ili waendelee kunufaika na Mradi wa Hewa Ukaa ambao umewaletea maendeleo makubwa katika Sekta mbalimbali

Mhe.Dkt.Mpango ameeleza kuwa iwapo Wananchi watatuna mazingira ikiwa ni pamoja na kutunza uoto wa asili itasaidia kwa kiwango kikubwa kupungoiza ama kuondoa athari zitokanazo na mabadiliko ya Tabia ya Nchi yanayosababishwa kwa sehemum kubwa na tabia ya Wananchi kukata miti hovyo na kuharibu mazingira

Amesema ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha kuwa anatunza Mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia ya Nchi ambayo yamesababishwa na uharibifu mkubwa wa mazingira.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilauya ya Tanganyika Bw.Shabani Juma ameeleza kuwa Mradi wa biashara ya  Hewa ukaa katika Halmashauri ya Wilayaya Tanganyika ulianza Utekelezaji wake Mwaka 2018  ukiendeshwa na Halmashauri ya Tanganyika na Kampuni ya Carbon Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya Tuungane

Mkurugenzi Shabani Juma ameeleza kuwa Mradi huo unatelekezwa katika Vijiji nane vya Mpembe, Kapanga,Lugonesi,Katuma,Mwese,Bujombe,pamoja na Kijiji cha Kadunda ambavyo vina Misitu yenye ukubwa wa  hekta 216,944

Ameeleza kuwa tangu biashara ya hewa ukaa ianze Jumla ya Shilingi za Kitanzania Bilioni tatu Milioni Mia Tisa na Thelathini Elfu.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mpanda Vijijini Mhe.Selemani Kakoso alisema mradi wa biashara ya hewa ukaa imewanufaisha Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika ambapo amemuomba MhE.Makamu wa Rais kuingilia kati ili Misitu inayosimamiwa na  Wananchi kupitia Vijiji waendelee kunufaika na Faida zitokanazo na utunzaji wa Misitu hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved