• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Makabidhiano gari la taka

Posted on: February 9th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bibi Liliani C. Matinga ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kwa uamuzi mzuri wa kununua gari la kuzolea taka, amesema uamuzi huo utasaidia kuhakikisha kuwa mji unakuwa safi na mahali salama pa kuishi kwani taka zikizolewa kwa wakati na kutupwa sehemu maalumu zilizopangwa itasaidia kuzuia magonjwa mbalimbali.

Pia ameitaka Manispaa hiyo kuhakikisha gari hilo linatumika kwa makusudio yake na lisitumike kwa matumizi tofauti na yalivyokusudiwa na kuishauri Halmashauri hiyo isiishie kununua gari hilo tuu kwani mahitaji ya gari la kusombea taka bado yanahitajika kutokana na jinsi Manispaa hiyo inavyokuwa kwa kasi kubwa.

Gari hilo lenye namba za usajili SM 12244 lina uwezo wa kubeba tani 16 lilikabidhiwa kwa uongozi wa Manispaa ya Mpanda ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bibi. Lilian Matinga .

Akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi kwenye makabidhiano hayo Kaimu Mkurugenzi wa Manispaaya Mpanda Deodatus alisema wakazi wa manispaa ya Mpanda huzalisha kiasi cha tani 70.5 za taka ngumu kwa siku sawa na tani 25,732.5 kwa mwaka ambapo asilimia kubwa ya taka hizo ni taka toka majumbani na maeneo ya biashara.

Kaimu Mkurugenzi Kangu alifafanua kuwa kutokana na upatikanaji wa lori lenye uwezo wa kubeba tani 16 litasaidia kwa kiwango kikubwa kuondoa tatizo la mrundikano wa taka ngumu zilizokuwa zinabaki kwenye viziba au kwenye maeneo yaliyoandaliwa kwa muda mrefu .

Alizitaja baadhiya changamoto zilizopo katika katika utekelezaji wa udhibiti wa taka ngumu katika Manispaa ya Mpanda kuwa ni upungufu na uchakavu wa malori ya kuzoa taka na kufafirisha taka ngumu .

Changamoto nyingine ni ongezeko la idadi ya wakazi inayopelekea ongezeko la uzalishaji wa taka ngumu na ukosefu wa dampo la kisasa kwa ajili ya uchambuzi na uzikaji wa taka ngumu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • RC MRINDOKO AIHAKIKISHIA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI USALAMA WA UCHAGUZI MKOANI KATAVI.

    April 29, 2025
  • WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA MIKAKATI YA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI ENEO LA WESTERN, KITONGOJI CHA LUHAFWE – H/ WILAYA YA TANGANYIKA

    April 24, 2025
  • PPPC WATOA ELIMU UIBUAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA UBIA.

    April 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved