• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

KATAVI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI.

Posted on: May 21st, 2025

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amesema serikali imeendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa wawekezaji mkoani Katavi kwa kufanya uwekezaji kuwa na manufaa kwa pande zote yaani muwekezaji, jamii na serikali.

Kauli hiyo ameitoa wakati wa kikao kazi baina ya wawekezaji wa kampuni ya Katavi Mining company na ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo Mei 21, 2025 kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Katavi ambapo amesema mkoa huu unafursa nyingi za uwekezaji ambazo bado hazijaanza kufanyiwa kazi.

"Tunawakaribisha sana wawekezaji katika sekta mbalimbali tumejiandaa kuhakikisha kuwa wanapata ushirikiano pamoja kuboreshewa mazingira na miundominu ya uwekezaji sawa na uhitaji wao ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi na kufikia malengo," amesema Mhe. Mrindoko.

Kikao hiki kililenga kuiwezesha kampuni ya uchimbaji wa madini ya Katavi Mining company Ltd, kuwasilisha na kuzungumzia dhumuni lake la kupanua uwekezaji katika sekta ya madini pamoja na kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili ili waweze kuongeza uzalishaji.

"Changamoto iliyopo ni gharama kubwa ya uendeshaji wa shughuli zetu unaosababishwa na kukosekana kwa umeme ambapo chanzo chetu cha nishati kimekuwa kikitumia mafuta ambapo faida kubwa inaenda kwenye uendeshaji zaidi," amesema Mhandisi Abdallah Kipara.

Taarifa ya Afisa madini mkoa wa Katavi Mhandisi Andrew Mwalugaja amesema kuna eneo Kubwa la Uwekezaji Katika sekta ya Madini hasa madini ya Dhahabu na kopa kwani ni 20% pekee ya eneo lenye madini limeanza kuchimbwa katika mkoa wa katavi na tayari leseni za kati 15 zimetolewa kwa wachimbani na leseni nne pekee ndizo zinazofanya kazi huku leseni 3 zikiwa ni kutoka Katavi Mining company Ltd.

Akitoa hali ya upatikanaji wa umeme mkoani hapa Afisa masoko wa Tanesco Proches Joseph amesema serikali tayari imejenga Kituo cha Kupozea umeme katika eneo la Mpanda chenye msongo wa umeme wa Kv 33 kitaenda kumaliza kero ya kukosekana kwa umeme na kupunguza gharama ya uzalishaji viwandani na hata katika maeneo ya uchimbaji wa madini na unatarajiwa kuwashwa ifikapo June 2025.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATAVI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI.

    May 21, 2025
  • BASATA YAWAPIGA MSASA MAAFISA UTAMADUNI NA BIASHARA KATAVI MFUMO WA AMIS NA TAUSI

    May 20, 2025
  • KATAVI KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRID YA TAIFA MEI 20,2025.

    May 15, 2025
  • KATAVI YAZIDI KUNG'ARA UUZAJI WA KABONI

    May 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved