Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Katavi Regional Website
Katavi Regional Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tovuti ya Mkoa wa Katavi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Maono na Dhamira
  • Huduma
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na bRasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Halmashauri
      • Miundombinu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • maji
      • Afya
      • Elimu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Idara ya Fedha na Uhasibu
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
    • Muundo wa Taasisi
  • Machapisho
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Wilaya
    • Mpanda
    • Mlele
    • Tanganyika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Industry and Fishing
    • Minerals
    • Fishing
  • Utalii
    • Katavi National Park
    • Nkondwe Waterfalls
  • Biashara

Chanjo ya Polio kutolewa 18-21 Mei 2022, RC Katavi awahimiza Wananchi kutoa Ushirikiano zoezi la Utoaji wa chanjo kwa watoto.

Posted on: May 14th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mh.Mwanamvua Mrindoko alipozungumza na Waandishi wa Habari  13 Mei 2022 Ofisini kwake

Na:John Mganga-IO Katavi RS 

Watoto wapatao 189,465 chini ya Miaka 5 wanatarajiwa kupata chanjo ya Ugonjwa wa Polio Mkoani Katavi ikiwa ni jiitihada za Serikali kuchukua tahadhari kufuatia  tishio la mlipuko wa Ugonjwa huo baada ya Visa kadhaa vya watoto kukutwa na maambukizi ya Polio  kuripotiwa katika Nchi jirani ya Malawi.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mh.Mwanamvua Mrindoko alipozungumza na Waandishi wa Habari 13 Mei 2022 Ofisini kwake ambapo ameeleza kuwa chanjo hiyo itatolewa rasmi kuanzia Tarehe 18 hadi Tarehe 21 Mwezi Mei 2022.

Mhe. Mrindoko ameeleza kuwa awali Serikali iliahirisha zoezi la utoaji wa chanjo ya Polio ili kuweka sawa maandalizi   kusudi zoezi hilo la utoaji wa chanjo liweze kutolewa kwa ufanisi zaidi kama ilivyokusudiwa.

Ameeleza kuwa Zoezi hilo litatekelezwa na  Wataalamu wa Afya kwa  kupita nyumba kwa nyumba ambapo watatoa chanjo hiyo ya matone kwa njia ya mdomo  na pia katika maeneo yote ambayo watoto watapatikana.

Aidha Mh.Mrindoko  amewahakikishia Wananchi wote kuwa Chanjo ya Polio inayotolewa ni salama na haina madhara yeyote na kwamba kwa wale wote wenye maswali wanapaswa kuwauliza wataalamu wa Afya waliopo katika maeneo mbalimbali katika  Vituo vya kutolea hduma za Afya.

Amekemea vikali tabia ya Wananchi wanaopotosha Taarifa mbalimbali kuhusu Chanjo ambapo ameeleza kuwa serikali  haitosita kuchukua hatua za kinidhamu kwa wale wote watakaobainika kupotosha Taarifa za Chanjo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI DESEMBA 2024 December 12, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA 2025 December 16, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 January 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATAVI KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRID YA TAIFA MEI 20,2025.

    May 15, 2025
  • KATAVI YAZIDI KUNG'ARA UUZAJI WA KABONI

    May 13, 2025
  • MABADILIKO YA MAJIMBO YA UCHAGUZI

    May 12, 2025
  • RC MRINDOKO AZINDUA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

UZINDUZI RATIBA YA SAFARI ZA NDEGE ATCL SIKU YA JUMATATU 23 MEI 2022
Video zinginezo

Wavuti wa Haraka

  • SALARY SLIP PORTAL
  • FURSA ZA UTALII KATUMA MKOANI KATAVI
  • KATAVI RS HABARI
  • KATAVI RS HABARI YOUTUBE

Wavuti mwambata

  • Mpanda Municipal Council
  • Mpimbwe District Council
  • Mpanda District Council
  • Nsimbo District Council
  • Mlele District Council
  • Tovuti ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

click here

Ramani

Wasiliana nasi

    Mpanda-Katavi (Mkoani Area)

    Sanduku la Barua: Box 235, Mpanda -Katavi

    simu: 025-2957108

    Mobile:

    Barua pepe: ras.katavi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • ramani
    • Huduma

Copyright@2017 Katavi Rs. All right reserved